positive is normal
JF-Expert Member
- Dec 25, 2017
- 520
- 978
Habari wakuu,
Natumaini mko poa na Christmas na hata kama uchumi hauko sawa yapaswa kushukuru MUNGU maana kikubwa ni uzima na afya tu.
Dhumuni la uzi huu ni kuwapa moyo wale wote wanaoishi na Virusi vya UKIMWI wajione kama watu wa kawaida na kuwa na virusi vya UKIMWI sio mwisho wa maisha.
Mimi ni kijana jinsia ya kiume, nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI miaka 24 iliyopita na mpaka leo niko mzima wa afya na ukiniangalia kwa macho hutofikiria kama naishi na Virusi.
Waathirika wote msikate tamaa na wala msihuzunike, kila kitu kinatokea kwa sababu fulani.
Natanguliza shukrani kwenu na muwe na Christmas njema.
Mwenye maswali au maoni nitamjibu hapa hapa
Natumaini mko poa na Christmas na hata kama uchumi hauko sawa yapaswa kushukuru MUNGU maana kikubwa ni uzima na afya tu.
Dhumuni la uzi huu ni kuwapa moyo wale wote wanaoishi na Virusi vya UKIMWI wajione kama watu wa kawaida na kuwa na virusi vya UKIMWI sio mwisho wa maisha.
Mimi ni kijana jinsia ya kiume, nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI miaka 24 iliyopita na mpaka leo niko mzima wa afya na ukiniangalia kwa macho hutofikiria kama naishi na Virusi.
Waathirika wote msikate tamaa na wala msihuzunike, kila kitu kinatokea kwa sababu fulani.
Natanguliza shukrani kwenu na muwe na Christmas njema.
Mwenye maswali au maoni nitamjibu hapa hapa