USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

Mkuu ni changamoto gani inazokumbana nazo kiujumla, pia unasoma/umeajiriwa/au umejiajiri.
 
Ushatembea na mademu wangapi mpk saiv?

Unaisha mkoa/wilaya gani?
 
Huwa sijui namna ya kuchange name humu, naona yako inasoma positive is normal, naomba unielekeze mkuu na mm namna ya kuchange, niliombaga humu sikupata feedback ya kueleweka
 
Hongera sana mkuu kwa kukubali hali hiyo.

Je kuna NGO yoyote inayohusu masuala ya HIV unafanya nayo kazi? Kama hapana. Utakua tayari kufanya kazi na NGO yoyote ili kuwapa moyo watu wengne wanaoishi na Ukimwi?
 
Pole mkuu. Nikuulize huwa unafanya matusi kwa kutumia advantage ya kutokufahamika?
 
Hongera sana mkuu kwa kukubali hali hiyo.

Je kuna NGO yoyote inayohusu masuala ya HIV unafanya nayo kazi? Kama hapana. Utakua tayari kufanya kazi na NGO yoyote ili kuwapa moyo watu wengne wanaoishi na Ukimwi?
Nipo tayari mkuu
 
Back
Top Bottom