USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

Ni hali gani hiyo iliyoanza kukutokea mpaka Dokta wako kupeleka akushauri uanze kutumia hizo dawa mkuu...?
Ni vipele vilianza kusambaa kwenye miguu,nikaenda hospital kubwa private kama tatu haikusaidia na daktari wangu akaniambia itakuwa Cd4 zimeshuka mara baada ya kuanza Arv vile vipele vilikauka na kupotea vyote
 
Ni vipele vilianza kusambaa kwenye miguu,nikaenda hospital kubwa private kama tatu haikusaidia na daktari wangu akaniambia itakuwa Cd4 zimeshuka mara baada ya kuanza Arv vile vipele vilikauka na kupotea vyote

Ooh okay.

Nini kilipelekea cd4 kushuka...?. Sorry for asking nipo hapa kujifunza mkuu. Thanks.
 
Ooh okay.

Nini kilipelekea cd4 kushuka...?. Sorry for asking nipo hapa kujifunza mkuu. Thanks.
Cd4 kushuka inasababishwa na vitu vingi baadhi ni kupata milo duni,kufanya ngono zembe,kuwa na msongo wa mawazo(stress)na kutotumia dawa za Arv
Kwa upande wangu kuanzia mwaka jana nilianza kuishi mwenyewe hivyo nikawa nakosa mlo kamili uliojitosheleza ukijumlisha na kutotumia Arv ni lazima Cd zishuke mkuu ila nashukuru sasa zimepanda kwa kiasi kikubwa mno na ninazingatia mlo kamili hata iweje bora nikose vyote lakini sio kukosa milo mitatu yenye nguvu
 
May God bless you, sio mijitu kujisifia uzinifu kila siku jf, mpaka keyboard zimejiset auto word prediction unaanza kutyp P inamalizia Papuchu, ukityp G inamalizia Gegedo. Naomba Nissan nyeupe irud mtaani
Ahsante mkuu ila mpaka nimecheka eti P keyboard inamalizia papuchi na wakitype G keyboard inamalizia Gegedo
Thanks mkuu ubarikiwe na wewe pia
 
Usijali mkuu,sikuwahi kutumia Arv miaka ya nyuma,Arv nimeanza kutumia mwaka jana tena baada ya kulazimishwa sana na Daktari wangu ambaye ni rafiki yangu so kuanzia mwaka jana mwezi wa tisa ndio nimeanza kutumia ARV
Je umewahi kushambuliwa na magonjwa nyemelezi au
 
Cd4 kushuka inasababishwa na vitu vingi baadhi ni kupata milo duni,kufanya ngono zembe,kuwa na msongo wa mawazo(stress)na kutotumia dawa za Arv
Kwa upande wangu kuanzia mwaka jana nilianza kuishi mwenyewe hivyo nikawa nakosa mlo kamili uliojitosheleza ukijumlisha na kutotumia Arv ni lazima Cd zishuke mkuu ila nashukuru sasa zimepanda kwa kiasi kikubwa mno na ninazingatia mlo kamili hata iweje bora nikose vyote lakini sio kukosa milo mitatu yenye nguvu

Safi sana mkuu.

MUNGU atakuvusha ndugu yangu.

Lovely.
 
Mkuu hongera kwa kujikubali aisee, wengi wetu ni waoga kupima tu.
 
Back
Top Bottom