USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

Faraja ipi unayozungumzia ww.labda waoane postive wote....usichukulie maisha kiwepesi hvyo..anaweza pata stigma hata kwa ndugu wa nwanamke..we mshauri atafute pesa aishi vzri basi..!

QUOTE="Mtumishi wa Bwana89, post: 30650009, member: 496183"]Familia itakuwa faraja kwake[/QUOTE]
 
nimekupenda,utapona Mungu ni mkuu na one day utakuwa na familia njema,ubarikiwe kwa kutousambaza,ila kwa ushauri unaweza kutafuta mtu mwenye ukimwi mkayajenga mambo si mbaya.
 
Habari wakuu,

Natumaini mko poa na Christmas na hata kama uchumi hauko sawa yapaswa kushukuru MUNGU maana kikubwa ni uzima na afya tu.

Dhumuni la uzi huu ni kuwapa moyo wale wote wanaoishi na Virusi vya UKIMWI wajione kama watu wa kawaida na kuwa na virusi vya UKIMWI sio mwisho wa maisha.

Mimi ni kijana jinsia ya kiume, nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI miaka 24 iliyopita na mpaka leo niko mzima wa afya na ukiniangalia kwa macho hutofikiria kama naishi na Virusi.

Waathirika wote msikate tamaa na wala msihuzunike, kila kitu kinatokea kwa sababu fulani.

Natanguliza shukrani kwenu na muwe na Christmas njema.

Mwenye maswali au maoni nitamjibu hapa hapa

Kama tungekuwa tumefahamihana mapema ningekusaidia kwa swala lako hilo.
kwa mfumo kama alitumia huyu
 
Habari wakuu,

Natumaini mko poa na Christmas na hata kama uchumi hauko sawa yapaswa kushukuru MUNGU maana kikubwa ni uzima na afya tu.

Dhumuni la uzi huu ni kuwapa moyo wale wote wanaoishi na Virusi vya UKIMWI wajione kama watu wa kawaida na kuwa na virusi vya UKIMWI sio mwisho wa maisha.

Mimi ni kijana jinsia ya kiume, nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI miaka 24 iliyopita na mpaka leo niko mzima wa afya na ukiniangalia kwa macho hutofikiria kama naishi na Virusi.

Waathirika wote msikate tamaa na wala msihuzunike, kila kitu kinatokea kwa sababu fulani.

Natanguliza shukrani kwenu na muwe na Christmas njema.

Mwenye maswali au maoni nitamjibu hapa hapa
huwa wanapona huwa ugonjwa wa ukimiwi pamoja na mkada wa jeshi. angalia video hizi
 

Attachments

Back
Top Bottom