Maalim....

Nikiri tu sijasoma yote. Nimesoma tu title halafu nikasoma na jina la mwandishi basi nikaishia hapo!
Nakushauri soma upate faida

HAKUNA hata sehemu ilipotajwa UISLAM wala MANABII wake
Wala ulipotajwa UKIRSTO na MANABII

amefafanua jambo ambalo naimani litaongeza kitu kwako
 
Ushoga au liwati ni dhambi mabaya na yenye kuangamiza jamii kimaadili. Katika Torati dhambi hii imeitwa "machukizo" kwa kuwa inachukiza mbele ya uso wa Mungu.

Katika Biblia katazo la kushiriki mahusiano ya jinsia moja linapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 18:22
"๐‘ผ๐’”๐’Š๐’๐’‚๐’๐’† ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’๐’‚๐’š๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’‰๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’."

Kutokana na uzito wa kosa la liwati (ushoga) amri ya kuuawa washiriki imetolewa:
"๐‘ด๐’•๐’– ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’Ž๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’˜๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’˜๐’Š๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’†๐’‡๐’‚๐’๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’, ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’‘๐’‚๐’”๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’‚๐’˜๐’‚, ๐’…๐’‚๐’Ž๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’Š๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’‹๐’–๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†."
( Mambo ya Walawi 20:13)

Leo tutazame hali ya Ushoga katika taifa hili bandia lilioanzishwa 1948 linalojiita teule.

Haki za wasagaji na mashoga katika taifa la Israeli ni bora zaidi kuliko nchi yoyote ya ukanda wa Mashariki ya Kati.

Israel imekuwa nchi ya kwanza barani Asia kutambua haki ya kuishi pamoja kati ya wapenzi wa jinsia moja bila kusajiliwa.

Wanandoa wa jinsia moja wanaruhusiwa kuasili mtoto kwa pamoja, kufuatia uamuzi wa kihistoria wa mahakama uliofanywa mwaka 2008.

Mashoga na Watu wengine wa LGBTQ pia wanaruhusiwa kuhudumu katika jeshi la Israeli.

Tel Aviv makao makuu ya Israeli yalirejelewa na jarida maarufu la "Calgary Herald" kama mojawapo ya miji inayowapa heshima kubwa mashoga duniani, ndio maana jarida la Out likaliita jiji hilo kwa jina la utani "mji mkuu wa mashoga wa Mashariki ya Kati."

Tovuti ya GayCities, 2011 iliitaja TelAviv kama jiji bora zaidi la wapenzi wa jinsia moja.

Jijini Tel Aviv kuna mnara wa kumbukumbu uliojengwa 2014 kuenzi mashoga walio wahanga wa Holocaust.

Sio serikali tu inayounga mkono mashoga, kura za maoni zimegundua kuwa Waisraeli wengi wanaunga mkono kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja.

Kwa mujibu wa ripoti ya Channel 13 kama ilivyonukuliwa na jarida la Jerusalem Post, Waisraeli 61% wanaunga mkono kuwapa haki sawa watu wa LGBTQ.

Uungaji mkono wa haki za mashoga ni mkubwa miongoni mwa Waisraeli Wayahudi kwa 68% na 17% tu ya wasiounga mkono.

Kwa wale Waisraeli wasio Wayahudi upingaji wa haki za mashoga ni mkubwa kwa 73% na uungaji mkono wa 22%.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

Mashoga Waisraeli huhudumu waziwazi katika jeshi la Israeli tangu 1993. Israeli inatambua kikamilifu washirika wa wanajeshi na maafisa walio mashoga.

Sheria ya Fursa Sawa katika Ajira ya 1992 inakataza ubaguzi mahali pa kazi kwa sababu ya mwelekeo wa kijinsia.

Raia mashoga hutumikia nafasi nyeti serikalini kama vile Ubunge, ujaji, na uafisa wa umma. Idadi kubwa ya wanadiplomasia wanaoiwakilisha Israeli kote ulimwenguni ni mashoga.

Mashoga na wasagaji wanaopitia mateso kote Mashariki ya Kati mara nyingi hukimbilia Israeli.

๐—จ๐—น๐—ถ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ

Wanandoa mashoga wanafurahia kutambuliwa na mahakama za Israel na wana haki ya:

๐—ž๐˜‚๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ: Mahakama za Familia za Israeli zinatambua kikamilifu uasili unaofanywa na wapenzi wa jinsia moja.

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ: Kwa kukosekana kwa ndoa ya kiraia nchini Israeli, Mahakama Kuu inatambua ndoa za jinsia moja zinazofanywa nje ya nchi.

๐—›๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ: Sheria ya Israeli inatoa usawa kati ya wapenzi wa jinsia moja na watu wa jinsia tofauti katika masuala ya pensheni za kustaafu na wajane na huduma za matibabu.

๐—จ๐—ฟ๐—ถ๐˜๐—ต๐—ถ: Mahakama za Israeli, kwa idhini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, zinatambua haki ya watu wa jinsia moja kurithi mali ya mwenzi mwingine.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1. Gay Tel Aviv Guide
2.Chama cha Kitaifa cha LGBT nchini Israeli
3.Jerusalem Open House
4. Havruta
Bat-kol (Shirika la Wasagaji wa Kidini.
5. GayIsrael

๐—ฅ๐—ฒ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1975: Jumuiya ya kwanza ya LGBT ya Israeli (The Aguda) ilianzishwa

1988: Mapinduzi ya Mashoga ya Israeli yanaanza.

1992: Knesset (Bunge la Iraeli) linatangaza kubatilishwa ubaguzi kulingana na mwelekeo wa kijinsia au mahali pa kazi.

1993: Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) linatekeleza sera ya kupinga ubaguzi katika jeshi la Israeli.

1994: Mahakama Kuu yatoa hukumu ya kuwanufaisha mume na wenye jinsia moja.

1998: Nyota wa Kiisraeli aliyebadili jinsia, Dana International, alishinda Shindano la Nyimbo za Eurovision.

2000: Mahakama ya Juu inawatambua wapenzi wa jinsia moja kuwa wazazi wa kulea watoto.

2002: Mbunge wa kwanza shoga wa waziwazi wa Bunge la Israeli alichaguliwa.

2004: Mahakama ya Tel Aviv ilitoa uamuzi kwamba serikali haiwezi kumfukuza mpenzi wa jinsia moja mwenye asili ya kigeni wa raia wa Israeli.

2006: Ndoa za mashoga zilizofanywa nje ya nchi zinatambuliwa rasmi nchini Israeli.

2008: Haki kamili za kuasili zilizotolewa kwa wanandoa mashoga.

2010: Jarida la Out linatambua Tel Aviv kama jiji salama zaidi kwa mashoga Mashariki ya Kati.

2011: Jaji wa kwanza shoga aliteuliwa.

2011: Israeli inaandaa gwaride kubwa zaidi la Fahari ya Mashoga katika Bara la Asia na zaidi ya washiriki 100,000 kutoka kote ulimwenguni walihudhuria.

Madai kuwa Israeli ni taifa teule na takatifu yanavunjwa na hii kashfa nzito ya kuwa chaka la mashoga Mashariki ya Kati.

Ikumbukwe kuwa uteule wa Israeli ulitegemea sharti la kushika agano la Mungu kama inavyonukuliwa kutoka kwenye Torati:

"๐‘บ๐’‚๐’”๐’‚ ๐’ƒ๐’‚๐’”๐’Š, ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’Œ๐’Š๐’•๐’Š๐’Š ๐’”๐’‚๐’–๐’•๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’Š๐’”๐’‰๐’Š๐’Œ๐’‚ ๐’‚๐’ˆ๐’‚๐’๐’ ๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’Ž๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’•๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’˜๐’‚๐’•๐’†๐’–๐’๐’† ๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’†, ๐’Ž๐’‚๐’‚๐’๐’‚ ๐’…๐’–๐’๐’Š๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–. ๐‘ด๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’–๐’‡๐’‚๐’๐’Ž๐’† ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Œ๐’–๐’‰๐’‚๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š๐’‡๐’–.' ๐‘ฏ๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’…๐’Š๐’š๐’ ๐’Ž๐’‚๐’๐’†๐’๐’ ๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’š๐’๐’˜๐’‚๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐‘พ๐’‚๐’Š๐’”๐’“๐’‚๐’†๐’๐’Š.โ€
(Kutoka 19:5-6)

Neno "kama" katika andiko hilo linaashiria sharti kuwa hamui taifa teule wala taifa takatifu ila kwa kusikia sauti ya Mungu na kushika agano lake.

Rejea:
โ€ขWikipedia
โ€ขGay Israel
โ€ขJerusalem Post
โ€ขOUT
Picha ya mnara tafadhali
 
Andiko lako tungeliwekia akili na kulijadili kama ungelileta kipindi tofauti na sasa.
Sasa hivi tuna hangaika na jinsi ya kuangamiza kundi la kigaidi la Hamas lililoshambulia kongamano la nyimbo lililokuwa likifanywa na raia wa Israel.
Sijaona neno HAMASI hata moja
Wala NETANYAHU
wala PALESTINA wakionewa
Ameleta ELIMU ambayo nadhani mpk sasa utakuwa kuna kitu umeongeza kichwani kama utakuwa unesoma yote
 
Kwani anglikana ni Waislam?
Hakuna sehem Waislam wanaruhusu mambo hayo zaidi ya makanisani.

Tumesikia na nadhani hata wewe ni shahidi, kua papa (catholic) yuko mbioni kuruhusu mambo hayo.

Ukinipa na ushahidi kua kiongozi wa Waislam anatetea mambo hayo, sasa hivi nabadili dini.
 
Propaganda hazisaidii watu kusilimu.Tunaangalia matendo yenu.Ni heri mashoga wasio wauaji kuliko waswalihina makatili na wauaji.
Hivi kuna anaesilimu kwa kufata akili za mtu? Huyo atakuwa mjinga wa mwisho duniani, atakuwa hana tofauti na wanaofikiri kuwa myahudi ndiyo mungu wao.

Kwanza Uislamhauruhusu mtu asilimu kwa kushawishiwa na mtu. Kusilimi ni kujisalimisha mja kwa Muumba wake. Full stop.
 
Israel is the source of all evils
Hahaha...Quran is the source of evils

Tazama inavyowaagiza Waislam waue
Screenshot_20231015_091910.jpg
 
Ushoga au liwati ni dhambi mabaya na yenye kuangamiza jamii kimaadili. Katika Torati dhambi hii imeitwa "machukizo" kwa kuwa inachukiza mbele ya uso wa Mungu.

Katika Biblia katazo la kushiriki mahusiano ya jinsia moja linapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 18:22
"๐‘ผ๐’”๐’Š๐’๐’‚๐’๐’† ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’๐’‚๐’š๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’‰๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’."

Kutokana na uzito wa kosa la liwati (ushoga) amri ya kuuawa washiriki imetolewa:
"๐‘ด๐’•๐’– ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’Ž๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’˜๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’˜๐’Š๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’†๐’‡๐’‚๐’๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’, ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’‘๐’‚๐’”๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’‚๐’˜๐’‚, ๐’…๐’‚๐’Ž๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’Š๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’‹๐’–๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†."
( Mambo ya Walawi 20:13)

Leo tutazame hali ya Ushoga katika taifa hili bandia lilioanzishwa 1948 linalojiita teule.

Haki za wasagaji na mashoga katika taifa la Israeli ni bora zaidi kuliko nchi yoyote ya ukanda wa Mashariki ya Kati.

Israel imekuwa nchi ya kwanza barani Asia kutambua haki ya kuishi pamoja kati ya wapenzi wa jinsia moja bila kusajiliwa.

Wanandoa wa jinsia moja wanaruhusiwa kuasili mtoto kwa pamoja, kufuatia uamuzi wa kihistoria wa mahakama uliofanywa mwaka 2008.

Mashoga na Watu wengine wa LGBTQ pia wanaruhusiwa kuhudumu katika jeshi la Israeli.

Tel Aviv makao makuu ya Israeli yalirejelewa na jarida maarufu la "Calgary Herald" kama mojawapo ya miji inayowapa heshima kubwa mashoga duniani, ndio maana jarida la Out likaliita jiji hilo kwa jina la utani "mji mkuu wa mashoga wa Mashariki ya Kati."

Tovuti ya GayCities, 2011 iliitaja TelAviv kama jiji bora zaidi la wapenzi wa jinsia moja.

Jijini Tel Aviv kuna mnara wa kumbukumbu uliojengwa 2014 kuenzi mashoga walio wahanga wa Holocaust.

Sio serikali tu inayounga mkono mashoga, kura za maoni zimegundua kuwa Waisraeli wengi wanaunga mkono kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja.

Kwa mujibu wa ripoti ya Channel 13 kama ilivyonukuliwa na jarida la Jerusalem Post, Waisraeli 61% wanaunga mkono kuwapa haki sawa watu wa LGBTQ.

Uungaji mkono wa haki za mashoga ni mkubwa miongoni mwa Waisraeli Wayahudi kwa 68% na 17% tu ya wasiounga mkono.

Kwa wale Waisraeli wasio Wayahudi upingaji wa haki za mashoga ni mkubwa kwa 73% na uungaji mkono wa 22%.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

Mashoga Waisraeli huhudumu waziwazi katika jeshi la Israeli tangu 1993. Israeli inatambua kikamilifu washirika wa wanajeshi na maafisa walio mashoga.

Sheria ya Fursa Sawa katika Ajira ya 1992 inakataza ubaguzi mahali pa kazi kwa sababu ya mwelekeo wa kijinsia.

Raia mashoga hutumikia nafasi nyeti serikalini kama vile Ubunge, ujaji, na uafisa wa umma. Idadi kubwa ya wanadiplomasia wanaoiwakilisha Israeli kote ulimwenguni ni mashoga.

Mashoga na wasagaji wanaopitia mateso kote Mashariki ya Kati mara nyingi hukimbilia Israeli.

๐—จ๐—น๐—ถ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ

Wanandoa mashoga wanafurahia kutambuliwa na mahakama za Israel na wana haki ya:

๐—ž๐˜‚๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ: Mahakama za Familia za Israeli zinatambua kikamilifu uasili unaofanywa na wapenzi wa jinsia moja.

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ: Kwa kukosekana kwa ndoa ya kiraia nchini Israeli, Mahakama Kuu inatambua ndoa za jinsia moja zinazofanywa nje ya nchi.

๐—›๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ: Sheria ya Israeli inatoa usawa kati ya wapenzi wa jinsia moja na watu wa jinsia tofauti katika masuala ya pensheni za kustaafu na wajane na huduma za matibabu.

๐—จ๐—ฟ๐—ถ๐˜๐—ต๐—ถ: Mahakama za Israeli, kwa idhini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, zinatambua haki ya watu wa jinsia moja kurithi mali ya mwenzi mwingine.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1. Gay Tel Aviv Guide
2.Chama cha Kitaifa cha LGBT nchini Israeli
3.Jerusalem Open House
4. Havruta
Bat-kol (Shirika la Wasagaji wa Kidini.
5. GayIsrael

๐—ฅ๐—ฒ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1975: Jumuiya ya kwanza ya LGBT ya Israeli (The Aguda) ilianzishwa

1988: Mapinduzi ya Mashoga ya Israeli yanaanza.

1992: Knesset (Bunge la Iraeli) linatangaza kubatilishwa ubaguzi kulingana na mwelekeo wa kijinsia au mahali pa kazi.

1993: Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) linatekeleza sera ya kupinga ubaguzi katika jeshi la Israeli.

1994: Mahakama Kuu yatoa hukumu ya kuwanufaisha mume na wenye jinsia moja.

1998: Nyota wa Kiisraeli aliyebadili jinsia, Dana International, alishinda Shindano la Nyimbo za Eurovision.

2000: Mahakama ya Juu inawatambua wapenzi wa jinsia moja kuwa wazazi wa kulea watoto.

2002: Mbunge wa kwanza shoga wa waziwazi wa Bunge la Israeli alichaguliwa.

2004: Mahakama ya Tel Aviv ilitoa uamuzi kwamba serikali haiwezi kumfukuza mpenzi wa jinsia moja mwenye asili ya kigeni wa raia wa Israeli.

2006: Ndoa za mashoga zilizofanywa nje ya nchi zinatambuliwa rasmi nchini Israeli.

2008: Haki kamili za kuasili zilizotolewa kwa wanandoa mashoga.

2010: Jarida la Out linatambua Tel Aviv kama jiji salama zaidi kwa mashoga Mashariki ya Kati.

2011: Jaji wa kwanza shoga aliteuliwa.

2011: Israeli inaandaa gwaride kubwa zaidi la Fahari ya Mashoga katika Bara la Asia na zaidi ya washiriki 100,000 kutoka kote ulimwenguni walihudhuria.

Madai kuwa Israeli ni taifa teule na takatifu yanavunjwa na hii kashfa nzito ya kuwa chaka la mashoga Mashariki ya Kati.

Ikumbukwe kuwa uteule wa Israeli ulitegemea sharti la kushika agano la Mungu kama inavyonukuliwa kutoka kwenye Torati:

"๐‘บ๐’‚๐’”๐’‚ ๐’ƒ๐’‚๐’”๐’Š, ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’Œ๐’Š๐’•๐’Š๐’Š ๐’”๐’‚๐’–๐’•๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’Š๐’”๐’‰๐’Š๐’Œ๐’‚ ๐’‚๐’ˆ๐’‚๐’๐’ ๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’Ž๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’•๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’˜๐’‚๐’•๐’†๐’–๐’๐’† ๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’†, ๐’Ž๐’‚๐’‚๐’๐’‚ ๐’…๐’–๐’๐’Š๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–. ๐‘ด๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’–๐’‡๐’‚๐’๐’Ž๐’† ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Œ๐’–๐’‰๐’‚๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š๐’‡๐’–.' ๐‘ฏ๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’…๐’Š๐’š๐’ ๐’Ž๐’‚๐’๐’†๐’๐’ ๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’š๐’๐’˜๐’‚๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐‘พ๐’‚๐’Š๐’”๐’“๐’‚๐’†๐’๐’Š.โ€
(Kutoka 19:5-6)

Neno "kama" katika andiko hilo linaashiria sharti kuwa hamui taifa teule wala taifa takatifu ila kwa kusikia sauti ya Mungu na kushika agano lake.

Rejea:
โ€ขWikipedia
โ€ขGay Israel
โ€ขJerusalem Post
โ€ขOUT
Tafiti inapingwa na tafiti, asante kwa andiko lako mpaka nitakapothibitisha ntakubaliana na wewe ila yote kwa yote ushoga ni wa kupingwa kabisa yaani
 
Waislam ni jamii ya watu wasipenda ukweli ujulikane, ukiwaambia ukweli tu wako radhi wakuue hata kwa kukusomea kisomo cha albadr ama kukuchinja kabisa.
 
Waislam ni jamii ya watu wasipenda ukweli ujulikane, ukiwaambia ukweli tu wako radhi wakuue hata kwa kukusomea kisomo cha albadr ama kukuchinja kabisa.
Mungu hayuko kama wanavyodhani hukumu ya Mungu sio ya Mwanadamu
 
Back
Top Bottom