Mahakama ya kimataifa ya Haki yaikuta na hatia Israel

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,978
32,387
Wanaukumbi.

MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA HAKI YAIKUTA NA HATIA ISRAELI 🇮🇱

Mahakama ya Haki ya Kimataifa imethibitisha kwamba taifa la Israeli limevunja makubaliano ya vifungu vya mauaji ya kimbali pale Gaza.

Aidha katika maelezo ambayo yametolewa na majaji wa mahakama hiyo, wamekataa ombi la Israeli la kuifuta kesi hiyo kwa maana wameona kuna vipengele vya msingi ambavyo wanatakiwa kuwajibika.

“Afrika Kusini imeonyesha ushahidi wa kutosha kwamba kesi dhidi ya Israeli ni halali, kuna ushahidi mkubwa kwamba mauaji ya halaiki yanawezekana kufanywa hivyo hatua za muda zitachukuliwa”

"Mahakama inafahamu kwa kina ukubwa wa maafa ya kibinadamu yanayoendelea kutokea katika eneo hilo na ina wasiwasi mkubwa juu ya kuendelea kupoteza maisha na mateso ya binadamu”

Mahakama ya Kimataifa ya Haki imefanya maamuzi yafuatayo;

✅ Israeli lazima isitishe mashambulizi dhidi ya Wapalestina.

✅ Israeli ni lazima iruhusu misaada ya kibinadamu kwenda Gaza.

✅ Kuandaa ushahidi na kuufikisha mbele ya mahakama ndani ya mwezi 1.

Kumekucha na makucha yake 🫵🏻

View: https://www.youtube.com/live/FRsprNTNiNM?si=voS4GQF8zb35akLP
2fe212d7-b70d-40ac-a3f0-3b95b8f81fb7.jpeg
 
MYAHUDI WA UGANDA AWAKATAA AFRIKA KUSINI 🇿🇦

Julia Sebutinde ni mwanamke pekee kutoka Afrika ambaye amepata bahati ya kuwa jaji katika Mahakama Kuu ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iliyopo katika mji wa The Hague pale nchini Uholanzi.

Katika shauri ambalo lilipelekwa na Afrika Kusini kwenye Mahakama hiyo, Majaji takribani wote walipiga kura ya ndiyo lakini cha ajabu ni yeye peke yake alipiga ya kuwaunga mkono Israeli.

Kwa kifupi, mwanamama huyo aliwakataa Afrika Kusini katika shauri hilo na kusema kwamba Israeli wana haki ya kuwaua Wapalestina.

Ama kweli fahari ya utumwa ni kuishi kwa uoga kwa kufuata misingi ya mabwana 🙌

Wayahudi wa Kitunda, Maji Matitu, Nzega, Ilole, Kwimba mwenzenu huyu.
 

Attachments

  • f73d968a-109f-4065-bd21-4b5b7c430907.jpeg
    f73d968a-109f-4065-bd21-4b5b7c430907.jpeg
    17.4 KB · Views: 2
🚨🇫🇷BREAKING - FRANCE: NETANYAHU MUST ANSWER FOR WAR CRIMES!

Head Representatives group, Mathilde Bannon:

"The Court of Justice’s decision very clearly identifies the danger of genocide in the Gaza Strip and imposes immediate precautionary measures on Israel.

Netanyahu must now answer for the war crimes he committed before international justice."

Source: Al Mayadeen
 
MYAHUDI WA UGANDA AWAKATAA AFRIKA KUSINI 🇿🇦

Julia Sebutinde ni mwanamke pekee kutoka Afrika ambaye amepata bahati ya kuwa jaji katika Mahakama Kuu ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iliyopo katika mji wa The Hague pale nchini Uholanzi.

Katika shauri ambalo lilipelekwa na Afrika Kusini kwenye Mahakama hiyo, Majaji takribani wote walipiga kura ya ndiyo lakini cha ajabu ni yeye peke yake alipiga ya kuwaunga mkono Israeli.

Kwa kifupi, mwanamama huyo aliwakataa Afrika Kusini katika shauri hilo na kusema kwamba Israeli wana haki ya kuwaua Wapalestina.

Ama kweli fahari ya utumwa ni kuishi kwa uoga kwa kufuata misingi ya mabwana 🙌

Wayahudi wa Kitunda, Maji Matitu, Nzega, Ilole, Kwimba mwenzenu huyu.
👆taarifa hii ikiwafikia wayahudi wa Kitunda na Pugu watafurahi sana😀
 
Serikali ya Uganda imemkataa jaji aliyeipigia kura Israel katika mahakama ya Umoja wa Mataifa
 
The world will also not forget Judge Julia Sebutinde, the Ugandan judge serving her second term on the International Court of Justice who voted against all the provisional measures South Africa sought against Israel and stood alone against the population of #Palestine.
 
Lakini hawajawaambia wasitishe vita......wamewaambia iendelee lakini wapunguze maafa kwa raia.....mahakama hii ni kichekesho......
 
Back
Top Bottom