ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Je, tunakumbuka nchi nyingi za Africa zilivunja uhusiano na taifa la Israel? Pamoja na yote hayo, taifa la Israel halijateteleka na limekuwa imara zaidi.
Kinyume chake Africa tumerudi nyuma zaidi kuliko tulivyo kuwa mwanzoni. Mdogomdogo tunarudisha wenyewe uhusiano na Israel. Kuvunja uhusiano na Israel tunajikomoa wenyewe. Tunajipa laana wenyewe.
Mungu wa mbinguni anachukia sana tunapokuwa kinyume na taifa lake. Wengine watauliza mbona Israel kuna mashoga kibao. Linaweza kuwa taifa la Mungu wakati limejaa mashoga?
Kwa taarifa yako, mashoga wamejaa dunia nzima. Mashoga wapo urusi, china, USA, Africa,
Brazil na hata nchi za kiarabu. Hakuna taifa katika USO wa dunia lisilokuwa na mashoga. Tusijifariji na kuona Israel na nchi za magharibi ndiyo zenye mashoga. Mashoga wamejaa kila Kona ya dunia.
Kwa hiyo pamoja na Israel kujaa mashoga, ukweli ni kwamba huko nyuma hakuna nabii yeyote, marudia hakuna nabii alietoka taifa lolote isipokuwa Israel. Manabii wote baada ya Yesu nje ya Israel ni batili. Taifa la ndiyo limezalisha manabii wote wa kweli wa Mungu. Utamtaja Mussa, Isaya, Yohana, Ezekiel, Ezra, Ibrahim, isaka, yakobo na wengine wengi.
Na record zao zipo waziwazi katika kitabu kitakatifu cha Mungu (biblia). Kuilaani Israel tunajilaani wenyewe. Lile taifa halitakuja kuteteleka
Kinyume chake Africa tumerudi nyuma zaidi kuliko tulivyo kuwa mwanzoni. Mdogomdogo tunarudisha wenyewe uhusiano na Israel. Kuvunja uhusiano na Israel tunajikomoa wenyewe. Tunajipa laana wenyewe.
Mungu wa mbinguni anachukia sana tunapokuwa kinyume na taifa lake. Wengine watauliza mbona Israel kuna mashoga kibao. Linaweza kuwa taifa la Mungu wakati limejaa mashoga?
Kwa taarifa yako, mashoga wamejaa dunia nzima. Mashoga wapo urusi, china, USA, Africa,
Brazil na hata nchi za kiarabu. Hakuna taifa katika USO wa dunia lisilokuwa na mashoga. Tusijifariji na kuona Israel na nchi za magharibi ndiyo zenye mashoga. Mashoga wamejaa kila Kona ya dunia.
Kwa hiyo pamoja na Israel kujaa mashoga, ukweli ni kwamba huko nyuma hakuna nabii yeyote, marudia hakuna nabii alietoka taifa lolote isipokuwa Israel. Manabii wote baada ya Yesu nje ya Israel ni batili. Taifa la ndiyo limezalisha manabii wote wa kweli wa Mungu. Utamtaja Mussa, Isaya, Yohana, Ezekiel, Ezra, Ibrahim, isaka, yakobo na wengine wengi.
Na record zao zipo waziwazi katika kitabu kitakatifu cha Mungu (biblia). Kuilaani Israel tunajilaani wenyewe. Lile taifa halitakuja kuteteleka