Mkereketwa no.3
Member
- Apr 3, 2012
- 30
- 5
mimi nikikuta nyumbani kwangu wanaisikiliza hiyo redio ya vilaza nitaivunja vunja
Mbona wakiisifia CHADEMA hamsemi?
read between the lines kilaza wewe......Nilisikia Gerald Hando alichosema ni kwamba kivipi kesi hiyo inaweza kuwa ni ya kihistoria? Kwamba je, huyo ndo mbunge wa kwanza kuvuliwa ubunge? Kwamba watu wanawezaje kufunga safari kutoka Arusha kuja Dar kusikiliza kesi tu? Hakuna neno hata moja lilotaja CCM wala Chadema.
Tatizo lenu mlio wengi hamjipi muda wa kuchambua na kutafakari kuhusu hoja husika.
Kwanza Clouds siyo chama cha siasa na wala haifungamani na upande wowote. Hiki hakiwezi kuwa chombo cha kusifia hata upuuzi eti kwasababu umefanywa na cha pendwa, never. Tuache kukurupuka.
Huyu Gerald nilikuwa nikimheshimu ila wiki tatu zilizopita nilikutana naye Thai Villlage kalewa taabani amekaa anadondosha mate hata hajitambui.Nakumbuka kumwona mwenzake mmoja sijui ndo anaitwa Dina akimsadia kufunika hiyo aibu but wapii jamaa kajianika anamwaga mate tuu na kushika makalio ya wanaokuja kumsaidia.Tangu siki hiyo nilim-write off coz he preach asichoki-practice.To hell..
The last time I checked, Clouds FM has never aired anything in favor of CHADEMAMbona wakiisifia CHADEMA hamsemi?
Leo asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast watangazaji wa Clouds FM wameongea mengi ya kumbeza Lema na kesi yake. Sijui sasa hivi wanajisikiaje baada ya hukumu kusoma.
Ombi langu kwa vyombo vya habari:
Msioneshe waziwazi kwamba mnaegemea upande fulani wa chama cha kisiasa kwani vyombo vyenu hivyo ni vya kibiashara. Jamii ikigundua kuwa mna mlengo flani itawasusa.
Mwana JF aliyesikiliza kipindi hicho anaweza akaongeza yale yalokuwa yakiongelewa..
Are u out of ur mind!? ina maana mpaka leo hujui kwamba TISS ni tawi la CCM!?Vyombo vya habari kama hivyo na waandishi wake sivitiofautishi na vyombo vya habari vilivyohusika kusaidia mauaji ya kimbari huko Rwanda. Watanganzaji kama hoa TISS iwatupie jicho kali kama haiwezi, nguvu ya umma ichukue hatamu.
Leo asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast watangazaji wa Clouds FM wameongea mengi ya kumbeza Lema na kesi yake. Sijui sasa hivi wanajisikiaje baada ya hukumu kusoma.
Ombi langu kwa vyombo vya habari:
Msioneshe waziwazi kwamba mnaegemea upande fulani wa chama cha kisiasa kwani vyombo vyenu hivyo ni vya kibiashara. Jamii ikigundua kuwa mna mlengo flani itawasusa.
Mwana JF aliyesikiliza kipindi hicho anaweza akaongeza yale yalokuwa yakiongelewa..