Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Weredi???? They luck???? Alaf kuna mtangazaji anaitwa Lazaro Matalange yupo DW. Jipange tena

lazaro matarange zao la RFA acha kudanganya umma hapo clouds alikuwa anazuga tu, na alipoona haendani nao akasepa
 
lazaro matarange zao la RFA acha kudanganya umma hapo clouds alikuwa anazuga tu, na alipoona haendani nao akasepa

Mbona DW hawakumuona alipokuwa RFA?? Clouds ndo alipopata fursa ya kuonyesha talent yake na uwezo wake wa ziada ambao hakuweza ku-display akiwa RFA. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Alaf sio matarange. Angalia na ile post ya awali nliyokurekebisha.

 
cloud hii hii jana waliendeleza mdaharo wao mbovu kwa kuwaponda wakazi wa MTWARA kwa sababu ya kuandamana kudai gesi isitoke ni aibu kama vyombo vya habari vinaanza kuwa vinajiingiza kwenye mambo ya siasa yasiyowahusu eti kwa sababu jioni Nkurumah CCM kwenye posho.... acheni hizzzzzzzzoo
 
mfano mzuri ni kipindi cha Jahazi kimepoteza mvuto kiliokuwa nao kwasababu ya Ephrahim Kibonde kuingiza ushabiki wa kisiasa!

yani uyo kibonde ku** namba moja katika kufanya ushabiki na mnafiki namba moja. na huwa anajifanya anajua kila kitu!
 
Back
Top Bottom