Tatizo la pro CDM wanahisi kila mtu,taasisi,asasi zisizo ya serkali,taasisi za dini,vyombo vya ulinzi na usalama,vyombo vya habari na makampuni zinasupport utapeliwa wao wa siasa.Hivi nyie kawadanganya nani? ikiwa wenyewe kwa wenyewe mnatofautiana mnategemea kuungwa mkono kwa kila jambo na wasio na imani na chama chenu kichovu?