Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,570
Kama mtu ataamua kufanya analysis kuhusu nafasi ya clouds katika JamiiForums, lazima ata conclude kuwa inapendwa na kusikilizwa na members wengi walio na uwezo wa kukamata frequencies zao.
Maana chochote ambacho mtu ata come up nacho kuhusu clouds fm, utasikia "wapuuzi wale hata mimi nimewasikikia" wengine "mimi mwenyewe walipoanza tu ujinga wao nikaamua kubadili, station, sijui watu wanaipendea nini ile radio ya kijinga"....hapa nina wa exclude wale wanaosikiliza kimoyo moyo kupitia public transpots.
The bottom line is "Lips don't always say whats so...".
Maana chochote ambacho mtu ata come up nacho kuhusu clouds fm, utasikia "wapuuzi wale hata mimi nimewasikikia" wengine "mimi mwenyewe walipoanza tu ujinga wao nikaamua kubadili, station, sijui watu wanaipendea nini ile radio ya kijinga"....hapa nina wa exclude wale wanaosikiliza kimoyo moyo kupitia public transpots.
The bottom line is "Lips don't always say whats so...".