Lazima utakuwa umeumia na matokeo ya kesi. Jipe moyo tu mkuu maana hata hivyo mna viti vingi vya ubunge.Mbona wakiisifia CHADEMA hamsemi?
Ukiona vipindi vinaendeshwa na MC badala ya watangazaji wenye taaluma zao ujue udaku na kujipendekeza kwa wakubwa lazima ku overshadow kila kitu. Wangekuwa akina Mabonde ni wananawake wangeshapewa viti maaalum ila basi ana bahati mbaya hakuna viti maalum vya wanaume
Nimesikiliza huo upumbavu walokuwa wanauongea asubuhiLeo asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast watangazaji wa Clouds FM wameongea mengi ya kumbeza Lema na kesi yake. Sijui sasa hivi wanajisikiaje baada ya hukumu kusoma. Ombi langu kwa vyombo vya habari: Msioneshe waziwazi kwamba mnaegemea upande fulani wa chama cha kisiasa kwani vyombo vyenu hivyo ni vya kibiashara. Jamii ikigundua kuwa mna mlengo flani itawasusa. Mwana JF aliyesikiliza kipindi hicho anaweza akaongeza yale yalokuwa yakiongelewa..
msemaji mwenyew choka mbaya.....sema klauzi wananikera isku hizi....redio nzima hakuna shori mkali.....By the way tunaye msemaji rasmi wa Clouds Media Group humu JF Nyani Ngabu natumaini ataleta ufafanuzi na muelewe sera za kampuni yao zinasemaje.
.
Nashangaa sana PJ na degree yake anafanya kazi ya kusoma magazeti ambayo hata mtangazaji mwenye elimu ya kidato cha nne anaweza kuifanya. Kweli hili tatizo la ajira kwa vijana limeishika nchi pabaya sana