Unajua weakness ya Chombo cha habari kama Clouds ni kwamba wanaokota Ma-DJ wenye umaarufu wa kijinga jinga na Washereheshaji wa Kitchen parties na kuwageuza waandishi. Hivyo ni u kanjanja kwenda mbele. Wengi shule hakuna pale wala hakuna mwenye mafunzo ya Ki taaluma kutoka kwenye chuo vinavyoeleweka. Na matokeo yake ni rahisi kutambua matundu ya udhaifu wao pale inapotekea mijadala unakuta hata uwezo wao wa kuchambua mambo unakuwa very limited na wamekuwa wakipwaya kwa kiasi kikubwa.
Mi huwa hata siwasilizagi kwa kweli vihiyo hawa wa Cloud. Wamejaa misifa ya kimjini mjini na ushakumpe.
Wanahitaji kubadilisha mtazamo na ku reshape chombo hiki kama wanataka watu makini wawachukulie serious kwa kweli.
Mi huwa hata siwasilizagi kwa kweli vihiyo hawa wa Cloud. Wamejaa misifa ya kimjini mjini na ushakumpe.
Wanahitaji kubadilisha mtazamo na ku reshape chombo hiki kama wanataka watu makini wawachukulie serious kwa kweli.