Ushawahi kugongewa 'like' na Invisible wewe?

Ushawahi kugongewa 'like' na Invisible wewe?

Noamba utaandaa hicho kikao alafu tuitwe woote, nitatuma habari kwa wanafamilia wengine....

AD ...Nimeghairi..Najitoa kwenye familia..sizitaki hizi aibu mie ninalinda heshima yangu kwani ninamatarajio ya kuwa angalau Waziri Mkuu hapo baadae ikishindikana u-FL...Ugezeni wenyewe huko mirembe..uwe unanipa taarifa lakn ya maendeleo...
 
AD ...Nimeghairi..Najitoa kwenye familia..sizitaki hizi aibu mie ninalinda heshima yangu kwani ninamatarajio ya kuwa angalau Waziri Mkuu hapo baadae ikishindikana u-FL...Ugezeni wenyewe huko mirembe..uwe unanipa taarifa lakn ya maendeleo...
Aisee....!
 
Khaaaaa!
Haki ya mungu nakuombea mungu tu akupe maisha marefu Babu,
Maana tangu nijiunge JF sijawahi kupoteza network nikisoma post yako km hii!!
Hope kitakua kimesimama na ukafurahi lol!
:eyebrows:

Kweli wewe si mzima naanza kuamini hivo....duuuu!Punguza kudumisha mila aaiseee..
:hatari:

Nilimwambia ndugu yake jana kua ODM is sick mkichwa nikaonekana maneno yangu ya walakini.....:shock:
:focus:

Nadhani kikao cha familia kinahitajika haraka iwezekanavyo....sio bure..
:nerd:


Noamba utaandaa hicho kikao alafu tuitwe woote, nitatuma habari kwa wanafamilia wengine....
😛oa

AD ...Nimeghairi..Najitoa kwenye familia..sizitaki hizi aibu mie ninalinda heshima yangu kwani ninamatarajio ya kuwa angalau Waziri Mkuu hapo baadae ikishindikana u-FL...Ugezeni wenyewe huko mirembe..uwe unanipa taarifa lakn ya maendeleo...
:nono::A S embarassed::shock::wave::tape2:

duh! Wajukuu wako wana kazi nzito.
:A S-coffee::lol:
 
Mi nikigongewa na RussianRoullete ndo huwa najisikia kama napaa.

RR popote ulipo njoo nigongee ka-Like hapa mtoto wa Kiume nisimamishe kikojoleo changu bana.

Hahahhahahahhaha

Kwa kitu kama hiki kutoka kwa mzee mwenzangu.....like unataka ya nini tena??

Mie mapengo yangu yoooote nje nje kama vile naona jua!!

Babu DC!!
 
Hahahhahahahhaha

Kwa kitu kama hiki kutoka kwa mzee mwenzangu.....like unataka ya nini tena??

Mie mapengo yangu yoooote nje nje kama vile naona jua!!

Babu DC!!
Umri ushwenda huu mzee mwenzangu, acha tuchekecheke na wajukuu hawa ili tufe kifo chema muda ukifika.
 
Good morning shem.... Usharekebisha mambo kwa ZD? (roho inauma ujue...)
Vipi roho yakuumaje tena?.......
Dont take JF too serious (Source: Kaizer)
JF is never Boring (Source: The Boss)
Pamoja Saana (Source: ADI)

Ukikombaini hizo tatu, una-come this way (source?) basi siku zinasonga mbele, maisha yanakuwa rahisi.
 
Vipi roho yakuumaje tena?.......
Dont take JF too serious (Source: Kaizer)
JF is never Boring (Source: The Boss)
Pamoja Saana (Source: ADI)

Ukikombaini hizo tatu, una-come this way (source?) basi siku zinasonga mbele, maisha yanakuwa rahisi.


Speachless shem... Dah! Haya basi njoo this way....lol
 
Speachless shem... Dah! Haya basi njoo this way....lol
This way belongs to me.... I'll come that way....Afu shem, huyu hommie umenionea? Jana nlimtoa kombe la mfalme. Nna wasi anaipenda Real Madrid kuliko anavyokupenda wewe..... Yani alikuwa ako sick kabisa asee...
 
This way belongs to me.... I'll come that way....Afu shem, huyu hommie umenionea? Jana nlimtoa kombe la mfalme. Nna wasi anaipenda Real Madrid kuliko anavyokupenda wewe..... Yani alikuwa ako sick kabisa asee...



Hapo najua sina ujanja kabisa....lol... The good thing akifungwa na akiumwa I know how to handle him fine mpaka anasahau this world....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom