Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Usimsumbue dokta Riwa, yuko busy na mgomo. Kama unahitaji matibabu, tafazali wasiliana na Dr. Golden MpoleeeeHabari ya siku Doctor Riwa.....
Usimsumbue dokta Riwa, yuko busy na mgomo. Kama unahitaji matibabu, tafazali wasiliana na Dr. Golden MpoleeeeHabari ya siku Doctor Riwa.....
Darling shem.... hio Tasker unaletewa sasa hivi aisee...lol
Hahahahah!Eti? Hospitali gani itamuajiri? Ee Mungu, mkuze Matesha wangu haraka!
Tatizo ulikuja kwa gear ya reverse. Sheria za usalama barabarani haziruhusu uende reverse kwa safari ndefu.
Mkinichangia Tusker Malt, ntaacha. Ulisema bado siku nne siyo?
Tatizo ulikuja without bila ya with.
Na wewe, come this way........
:focus:
NO NO NO Big sisy,
Tuta miss mambo mengi sana aisee,
Tufanyen mpango atibie mapema nina mpango wa mchumba asa bila babu kupona nani atatoa idhin ya mie kuolewa jaman!!!
Nakuuliza ushawahi?
Kudadadeki... kama hujawahi embu gonga
https://www.jamiiforums.com/sports/...m-african-champions-league-3.html#post1971013
halafu wivu ukushike.
Au kama bado hujaridhika unaweza kupitisha tena macho
https://www.jamiiforums.com/sports/...m-african-champions-league-3.html#post1971013
Potelea mbali... ushawahi kupewa hata ya Paw?
Gonga
https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/150467-nimerudi-wadau.html#post2165523
donge likushike zaidi...
Inahuuuu..........?????!
Hahahahaha Out for a short and quick laugh LOLDarling shem.... hio Tasker unaletewa sasa hivi aisee...lol
Habari ya siku Doctor Riwa.....
Hahahahaha Out for a short and quick laugh LOL
aisee we kenge kweli!
Ni kweli mie NINA MAPNZ MAZITO KWA BABU lol!Nilikua nakupima wampenda kiasi gani....lol... Bahati yake aisee....
Usimsumbue dokta Riwa, yuko busy na mgomo. Kama unahitaji matibabu, tafazali wasiliana na Dr. Golden Mpoleeee
Kweli bana.... ngoja nijirekebishe nisije nikakupoteza. Na kukupoteza wewe ni heri nipoteze haka ka kidole kasiko na kucha kanakoning'inia bila mpango wala malipo.Umeona the way yamenifika eeh? lol
Na hizo bolded capital letters ni msisitizo siyo?.... Anayeyakataa mapenzi ya ODM ana bahati mbaya kama Yuda Iskariote. Hili libabu linalopenda misifa lisilopenda ugomvi na mtu utaacheje kulipenda kama siyo unajitafutia laana? hebu come this way bana!Ni kweli mie NINA MAPNZ MAZITO KWA BABU lol!
Niko tayari kujitoa JF kwa ajili yake.
Salama dada'angu...nipe siri, nifanyaje nipate senksi ya invisibo?
Ni kweli mie NINA MAPNZ MAZITO KWA BABU lol!
Niko tayari kujitoa JF kwa ajili yake.
lol.............. kanapatikana wap ako babu, show me this way lol....Kweli bana.... ngoja nijirekebishe nisije nikakupoteza. Na kukupoteza wewe ni heri nipoteze haka ka kidole kasiko na kucha kanakoning'inia bila mpango wala malipo.
hahahahaha..... Na Golden mpole atakutibu kweli I know....:eyebrows:
Na wewe hujanivimbisha mbichwa siku nyingi sana. Ntavaa helmet kwa ajili yako wallahNaona hapa unatoa tu nafasi ya ODM kuvimba li kichwa! lol
Hili jukwaa wanapita watoto pia....( Source: ADI)lol.............. kanapatikana wap ako babu, show me this way lol....