Ushawahi kugongewa 'like' na Invisible wewe?

Ushawahi kugongewa 'like' na Invisible wewe?

samahani kwa maneno makali dada. Ila kumbuka hayaji tu yenyewe, kwanini iwe yeye tu?
Najua kuwa nae ni mdau wa ile Alliance yenu ya MMU, nafahamu fika kuwa damu nzito kuliko maji,
YOU WILL NEVER BE AGAINST HER!
Kuhusu sijui small line ya nini na nini, huko mie sipo. Wapo niwapendao lakini si huyu kiumbe!


Niliposema hivo sikusema tu sababu she is MMU, Kigezo changu kikubwa ni kwamba she is JF, you are JF woote ni wanafamilia wa JF. Pamoja na kwamba kweli mimi na yeye ni wana MMU. Msingi wa sababu nilisema na kigezo nilichotumia ni kwamba naona wewe unatumia nguvu kubwa saana. na hio ina maana inakuumiza, it is not healthy kabisa. Kila mtu ana kasoro, na kama hampatani kwani kurusha maneno makali ndo the only solution? I believe not.... sidhani kama una solve lolote kwa njia hio.
 
I wish dada.
Ila huyu demu chenga ile mbaya, ana maudhi plus shobo za kijinga.
Kila nikiona post zake za kabila ile huwa nachafukwa roho... Halafu upande mwingine anajifanya decent sana.
Aaaaagh!

Kumbe nakusumbua sana ehhh?
Pole aisee!!
 
Noamba utaandaa hicho kikao alafu tuitwe woote, nitatuma habari kwa wanafamilia wengine....

unaona sasa?
Kumbe kuna familia, na mimi simo humo mu-familia.
Najua utasema sijui wote wana-JF blah blah.
Ila ukweli kuna gap...
 
Niliposema hivo sikusema tu sababu she is MMU, Kigezo changu kikubwa ni kwamba she is JF, you are JF woote ni wanafamilia wa JF. Pamoja na kwamba kweli mimi na yeye ni wana MMU. Msingi wa sababu nilisema na kigezo nilichotumia ni kwamba naona wewe unatumia nguvu kubwa saana. na hio ina maana inakuumiza, it is not healthy kabisa. Kila mtu ana kasoro, na kama hampatani kwani kurusha maneno makali ndo the only solution? I believe not.... sidhani kama una solve lolote kwa njia hio.

nitajitahidi kuzuia hisia zangu. Lakini fo sho, ANANICHEFUA!
 
unaona sasa?
Kumbe kuna familia, na mimi simo humo mu-familia.
Najua utasema sijui wote wana-JF blah blah.
Ila ukweli kuna gap...


Mphamvu naomba uwe kakangu wa hiari... Nitakutambulisha kwa wanafamilia wengine for nimetokea kukupenda uwe kakangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom