Ushawahi kugongewa 'like' na Invisible wewe?

Ushawahi kugongewa 'like' na Invisible wewe?

nishacome this way babu, haya nionyeshe ss as u promised!!!!!!!
Orayt, chukua kibali hapo kwa Cantalisia kwanza, then come this way.

With Sweetie beside..... Worry not... si umeona habanduki hapo chini? lol
Jamaa linachungulia asiee.... Yaani ile tabia yake ya kupiga chabo naona bado haijamtoka.
 
Nafarijiaka sana ukifurahi coz najua wengi watafurahishwa na furaha yao,
Wapi my Big shem Kaizer,
Mwambie LIKE zake ndio lunch yangu ya leo lol!


OMG!!! Umeanza tabia ya babu yako ya kuomba "LIKE"? Kama dadayako nakuambia ACHA Mara moja! hayo ayaweza babuyo mwenyewe! lol.... Ila ujumbe umefika kwa Sweetie.... "Like" is coming....lol... alafu mpaka nilisahau tunajadili Like hapa!:biggrin:
 
OMG!!! Umeanza tabia ya babu yako ya kuomba "LIKE"? Kama dadayako nakuambia ACHA Mara moja! hayo ayaweza babuyo mwenyewe! lol.... Ila ujumbe umefika kwa Sweetie.... "Like" is coming....lol... alafu mpaka nilisahau tunajadili Like hapa!:biggrin:
As u say sisy,

Unajua tunapokuna familia moja raha mpaka inapiliziza lol!
hivi kwan hizi like zinaulipiwagwa au?
Kuna watu aisee mpaka agonge like dah!
 
As u say sisy,

Unajua tunapokuna familia moja raha mpaka inapiliziza lol!
hivi kwan hizi like zinaulipiwagwa au?
Kuna watu aisee mpaka agonge like dah!


Wacha wawe wachoyo bana.... Mie nazimwaga tu....lol.. Malengo mpaka mwisho wa mwezi wa pili niwe nimetoa idadi ya 10,000.
 
nimepitia rekodi nimeona sijawahi kulamba 'senksi' ya invisibo....inaonekana ni kitu adimu sana hii aisee! Ngoja niiongeze katika malengo yangu ya 2012!

Pole sana Dokta kwa kukosa like ya Robot...
Nakutakia mafanikio katika hiyo agenda yako mpya.
By the way...
Kuna swali lliliulizwa kama madakitari wa JF na nyie mumegoma... sijapata majibu yake hata sasa.
 
Mi nikigongewa na RussianRoullete ndo huwa najisikia kama napaa.

RR popote ulipo njoo nigongee ka-Like hapa mtoto wa Kiume nisimamishe kikojoleo changu bana.

Like to mkuu ODM au kuna connection nyingine? Vipi lakini shwari?

Nilitaka nigonge "Like" nimeahirisha...

Naona machale yamekucheza, tehe tehe tehe.
 
Dah! Mphamvu naona umeniita kwa fujo! lol.... Thankyou bana.

Usijali bidada...
Mara nyingi huwa nakuwa mobile, afu kule hakuna tufe la 'like', nikija huku nafanya komoa!
lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom