Ushawahi kugongewa 'like' na Invisible wewe?

Ushawahi kugongewa 'like' na Invisible wewe?

Mimi nimewahi kupata ''like" kutoka kwa viongozi wote mashuhuri, wewe unajivunia hao mods!
 
Na hizo bolded capital letters ni msisitizo siyo?.... Anayeyakataa mapenzi ya ODM ana bahati mbaya kama Yuda Iskariote. Hili libabu linalopenda misifa lisilopenda ugomvi na mtu utaacheje kulipenda kama siyo unajitafutia laana? hebu come this way bana!
Hujakosea babu,
Here i am,all yours lol!
Ila km ujuavo kwenye msafara wa mamba na kenge wamo!!!!
 
Cantalisia habari za kazi dada,
vipi baba yako hajambo,
sijachungulia kule MMU manake ndiyo sebule yake.
Sijambo kbs mamangu,
Kazi mungu anasaidia tunaendelea,
Baba hajambo tayari yuko sebulen kwake kule km kawa keshafanya mambo yake kule!
Kwa LIKE yako leo nashiba kbs bila hata kula lol!
 
Mkifanya hivi your sis feels so much LOVE for you..... Have I told you lately I love you both?

we love you too bigy sisy wit ol our heart.
lol nimesema kwa wingi coz najua woote tunakupena dada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom