Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Status
Not open for further replies.
kwa miaka hii miwili Zitto hajawa mwanasiasa wa kuvutia, pengine angetoa hiyo issue ya swiss kidogo angeosha nyota yake.Ila waliomshikia chini hawawezi mpa hiyo option.pengine wameshamuonjesha kidogo kw akumfungilia account ili apate za kurubuni vijana kila mahali at his own detriments .

Nicholas wewe haufuatilii siasa wala hauangalii bunge,vip umeenda moshi na kile kicomputar chako,ushakitengeneza?
 
big show umelipwa na nani leo,walimshindwa watu zitto,mutaweza nyie vifaranga,,jipangeni tena wazee kwa hili mumefail wazee wa kaskazini na wabaguzi katika chama.hatwaachi,mwambieni na ben saa 8 mchaga mwenzenu


hatuwezi kukaa kwnye meza ya mazungumzo na chepe kubwa hata siku moja

chepe kubwa kwetu sisi ni kifaa cha kuzolea kinyesi cha nguruwe,,sasa kuzungumza nacho ni wastage of our time,go back to where u deserve to be chepe kubwa
 
upo nyumbani moshi x-mac hii au unakomaa mjini bado

Soon nitakuwa kule kwa watu wasioogopa majukumu, kwa watu wasiotupa watoto wao wala nchi yao,kwa wale wasioweza iba na kujenga nje ya nchi au kufich nje ya nchi, kwa wale wanaomiss kwao na si wanaoona aibu kwenda kwao.

By the way nitapita pale Protea Aishi nikapate kaupepo kazuri wakati nikipumizhsaubongo kwa tafakuri tulivu halafu ipate maji ya moto ktk pool yao.

Usiniuliza mawazo yatakayonijia kuhusu magamba ni yapi.
 
big show umelipwa na nani leo,wALIMSHINDWA WATU zITTO,MUTAWEZA NYIE VIFARANGA,,jipangeni tena wazee kwa hili mumefail wazee wa kaskazini na wabaguzi katika chama.Hatwaachi,mwambieni na Ben saa 8 mchaga mwenzenu

kazi uliyopewa ni nzito sana kuliko uwezo wako, mwenzako masalia anayetmuia ID ya Taswira alikesha humu kutoa povu siku mbili halali mpaka nikawa namuonea huruma.
 
Last edited by a moderator:
upuuzi kumchafua zitto ukitegemea chadema kubaki salama

Zitto si chadema tena wala hachafuliwi ndugu yangu, mwenyewe ndio yupo busy kwenye matope.sasa kesha bonyeza button ya eject ktk fighter jet.Sijui atarudi vipi tena ktk hiyo ndege.bahatai mbaya parachuki inashuka ktk wild fire.
 
Bikini yako imekupendeza sana.
Auikumbuki vizuri hii? si aliisahau mkeo jana alikuja gheto kwa matembezi yake ya kawaida na nilimtendea haki akaniachia kama kumbukumbu.
 
hatuwezi kukaa kwnye meza ya mazungumzo na chepe kubwa hata siku moja

chepe kubwa kwetu sisi ni kifaa cha kuzolea kinyesi cha nguruwe,,sasa kuzungumza nacho ni wastage of our time,go back to where u deserve to be chepe kubwa
[/QUOTE

mimi sio kiongozi wa chadema, tutakaaje nami kwenye meza ya mazungumzo?mtafuteni zitto ,tena zitto hawezi kubali kaa na nyie meza moja,coz anaakili nyingi kuliko nyie
 
Nicholas wewe haufuatilii siasa wala hauangalii bunge,vip umeenda moshi na kile kicomputar chako,ushakitengeneza?

Usijifanya unanijua wewe mtoto wa mama, kicomputer kipi unakijua wewe ?hata huwezi fanya interview, unamuuliza mtu kitu ili umjue kwa kuweka umbea, tena umbea wenyewe una zidi ku misslead
 
umechelewa sana si kila aliyenyoa pank ni police men,mimi ni zaidi ya huyo subiri muone kazi,ushalipwa mshahara cdm tv?

aaaahaaa! Hapa kuna harufu ya Mtela mwampamba wakuu!!! Maana jamaa yule ndio kazoea kuniuliza mshara wangu CDM TV, hata that time fcbk ndo zako kuuliza hvyo.

umekatika mkuu.
 
Hivi chepe kubwa na wewe umeaga kwenu?
Kweli we chepeo
big show umelipwa na nani leo,wALIMSHINDWA WATU zITTO,MUTAWEZA NYIE VIFARANGA,,jipangeni tena wazee kwa hili mumefail wazee wa kaskazini na wabaguzi katika chama.Hatwaachi,mwambieni na Ben saa 8 mchaga mwenzenu
 
KABWE,usitoke chadema komaa na hawa wachaga mpaka wakaa,wewe unaakili nyingi sana japo chadema hawataki watu wenye akili si munaona wanavyoanza kumsakama na Kitila Mkumbo? musiondoke chadema

Aaah mchange masalia!
 
mimi kitila ndiye kaniangusha sana,nilidhnai pengine angekuwa mmojawapo ya watu wachache wenye kuwasha taa ya matumaini ya fikra mpya ktk chuo cha hovyo kama udsm.naye ka fail test.bado sijapata clearly picture imekuweje hadi kumhujumu lema kulifnayika akiona, vikao na zitto alishiriki na hakuna kipya alichofanya.sijui anye alikuwbali kuwa chini ya zitto?ili aje kuwa nani waziri mkuu?au wakapewe ukuu wa chuo na ccm?sipati picture.its disgraceful kma alishiriki kwa malengo y akuhujumu chama na si kutibua huu ujinga.it disgraceful kama hakusaidi ainteligensia ya chama ktk hili.pengine haya hawezi sema sasa hivi na chama ndicho kitasema kama hawakufaidi inteligensia yake.



chadema tuliangalie tena upya suala hili
i think kazi itayomfaa zitto na kitila mkumbo ni kurudi kule kule kwao kighoma kufundisha katika hicho chuo kigoma international university wanachokifikiria kukianzisha

si nyote mnakumbuka katika ule mjadala wa kumohoji zito kabwe uliokawa unaendesha na ashadii??

Majibu yake yalikua

1.kama chama kisipo nipitisha nitamuunga mkono na kumfanyia kampeni mteule wa urais kupitia chama chetu,,
swali kwake,,,mbona alikua anakihujumu yeye na kafulila ili kukipa nguvu chama kipya cha chauma??

2.nikikosa urais ndoto yangu kubwa ni kwenda kusoma na kuja kufundisha chuo kikuu cha kigoma kinachotarajiwa kuanzishwa soon,,swali kwake,,ana ndoto ngapi??kuwa rais,mwenyekiti wa chadema??mganga wa kienyeji au mwalimu wa chuo kikuu cha kigoma??

Kipi sasa kinachomfanya aage kigoma??

Zitto acha ulimbukeni,,ushirikina hauna msaada wowote kwako
 
auikumbuki vizuri hii? Si aliisahau mkeo jana alikuja gheto kwa matembezi yake ya kawaida na nilimtendea haki akaniachia kama kumbukumbu.


aisee nimekudharau sana mingoi

kumbe una akili finyu kiasi hiko

rudi facebook basi,hapa upo na baba zako eti,shika adabu zako wewe mtoto
 
chepe kubwa si ndio jiina lako??
Sasa usipende kucheka cheka pindi watu wazima wenye akili zao wanapozungumza mambo ya msingi umeskia??au unafuraha kwa kufaulu kwako mtihani wa darasa lasaba hivi majuzi??naskia matokeo yenu si yameshatoka??

Ficha ujinga wako na uoneshe werevu wako,,unaejishushia hadhi ni wewe mwenyewe,,,jf iko imara

chepe kama hii sisi tunaitumia kuzolea vinyesi vya nguruwe,,umeskia??


The Big show, .. tuntemeke & company wapo kazini!.. Wanatumia masaburi kufikiri!
 
hivi chepe kubwa na wewe umeaga kwenu?
Kweli we chepeo

chepeo kazi yake kubwa si kuzole kinyesi??

Sasa tuna haja gani ya kupoteza mda na kifaa hiko??

Achana nacho,baadae tukihitaji kufanyia usafi zizi letu la nguruwe tutalitumia tuh kama linavotumika hapa na zitto kabwe
 
ZITTO ZUBEIR KABWE hakika wewe ni ZITTO kweli. Tunajua ulivyojitolea kwenye CDM muda akili na mali zako sasa kama kuna watu ndani ya CDM wanakuchukia wewe usilipize chuki kwa chuki .Unakubalika sana huku mitaani na nyota yako imepangiwa kung'aa itang'aa tu .Wewe ni mtu wa misimamo na wala hutetereki kufikia maamuzi. CDM ni chama au taasisi kam vile TLP UDP na ADC. Kwanza nakusifu ulivo mvumilivu usibabaishwe na hiv kina sa nane watoto wa dogo hawa na historia itawahukumu wote wanaokupangia mabaya yakufike. Ni wakat wako wa kujiondoa chamani hata kama familia yako haitaridhia waachie wenye chama wafanye wanavyotaka ..nakumbuka sana mzee mtei alipoacha kuvuna kahawa kule moshi ns kuja haraka dar kuja kukuomba umuachie mkwe wake kiti cha uongozi wa mwenyekiti. HAMA CHADEMA HAWAKUTAKI WAACHIE CHAMA CHAO.

Inaelekea wewe ni Zitto mwenyewe ama mmoja wa MASALIA. Maana umejiunga na JF mara baada ya kubainishwa ID zenu wote humu na Saa Nane. Hapa ndiyo tunapoanza kumuamini Saanane. Nakumbuka sakata hili la MASALIA wa CDM lilianzishwa tar 18 December 2012, nawewe mmojawapo umebadili ID yako tar 21 December 2012. Kwanini msipambane ndani ya chama kama kweli kundi lenu lina mambo mema kwa chama na Taifa kwa ujumla?
 
kama zitto anataka kujimaliza kisiasa àondoke CDM kwa kaz aliyoifanya katu asikubali kufuata kelele za mapakashume waangalie rostam, lowassa na chenge walivyoganda ccm kitendo cha zitto kuondoka huko kutawafanya wamrushie mashambulizi yatakayomhoofisha kisiasa sasa yeye akomae mpaka mwisho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom