THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
the big show, .. Tuntemeke & company wapo kazini!.. Wanatumia masaburi kufikiri!
hawasafishiki tena
kazi wanayokuja nayo tulishaimaliza mda mrefu kabisa,,sasa tunazid kujenga chama tuh
the big show, .. Tuntemeke & company wapo kazini!.. Wanatumia masaburi kufikiri!
Binafsi siwezi mshauri zitto kuondoka cdm.watanzania wa leo ni very strong katika kuwabaini wanasiasa wanaohama hama vyama. Watanzania wengi hawapendi kuwaona wanasiasa wakibadilikabadilika. Cha kufanya zitto aendelee baki cdm,ila kwa vile yeye ni binadamu kama kuna sehemu alikosea anawezd tubu na kusonga mbele. Watanzania wana kiu ya mabadiliko.
Subiri kidogo nimalizie supu yangu ya pweza nishushie maji ya sharbat ili usirudie kuzoea wanaume.
Zitto si chadema tena wala hachafuliwi ndugu yangu, mwenyewe ndio yupo busy kwenye matope.sasa kesha bonyeza button ya eject ktk fighter jet.Sijui atarudi vipi tena ktk hiyo ndege.bahatai mbaya parachuki inashuka ktk wild fire.
da munajipa moyo wa ndugu
kwani wewe ni mwanaume mbona una mambo ya kimbea????? Ngoja ninywe valu nije kukukomeshaSubiri kidogo nimalizie supu yangu ya pweza nishushie maji ya sharbat ili usirudie kuzoea wanaume.
Bado unategemea macho tuu ka uona?Nyambizi, ngege hazitegemei macho ya binadamu.
kama zitto anataka kujimaliza kisiasa àondoke cdm kwa kaz aliyoifanya katu asikubali kufuata kelele za mapakashume waangalie rostam, lowassa na chenge walivyoganda ccm kitendo cha zitto kuondoka huko kutawafanya wamrushie mashambulizi yatakayomhoofisha kisiasa sasa yeye akomae mpaka mwisho
kwani wewe ni mwanaume mbona una mambo ya kimbea????? Ngoja ninywe valu nije kukukomesha
chadema tuliangalie tena upya suala hili
i think kazi itayomfaa zitto na kitila mkumbo ni kurudi kule kule kwao kighoma kufundisha katika hicho chuo kigoma international university wanachokifikiria kukianzisha
si nyote mnakumbuka katika ule mjadala wa kumohoji zito kabwe uliokawa unaendesha na ashadii??
Majibu yake yalikua
1.kama chama kisipo nipitisha nitamuunga mkono na kumfanyia kampeni mteule wa urais kupitia chama chetu,,swali kwake,,,mbona alikua anakihujumu yeye na kafulila ili kukipa nguvu chama kipya cha chauma??
2.nikikosa urais ndoto yangu kubwa ni kwenda kusoma na kuja kufundisha chuo kikuu cha kigoma kinachotarajiwa kuanzishwa soon,,swali kwake,,ana ndoto ngapi??kuwa rais,mwenyekiti wa chadema??mganga wa kienyeji au mwalimu wa chuo kikuu cha kigoma??
Kipi sasa kinachomfanya aage kigoma??
Zitto acha ulimbukeni,,ushirikina hauna msaada wowote kwako
Naona unajitahidi sana kumsafisha Zitto humu JF.zile meseji za kutengeneza,,haa,haa,haa hata mdogo wangu wa darasa la pili anaweza kutengeneza,eti hili ni jukwaa la critical thinker..tunashusha hadhi ya Jf
mbona unaongea ngono tuu huku ,wakati mwenyewe msaada tuta,pweza ya nini sasa?Un uhanithi.Unajisigu ujinga wakati huna kitu.Au ndio kuvuruga watu humu ndani?
aisee nimekudharau sana mingoi
kumbe una akili finyu kiasi hiko
rudi facebook basi,hapa upo na baba zako eti,shika adabu zako wewe mtoto
unautafutia kwa kigagula zitto?mimi natafuta mkung'ata ni noma wazee,ata kufa mtu
hiyo mbege napata au sipati ndugu.
Nini kula hata kulala hajalala anasaka bonusbig show,umekula ndugu,Zitto na Slaa wapo kula sasa nawe kale kwanza.Hatutaki kuchangishana humu jf.
kwani naye anapenda toka,imebidi tuu. Sidhani kama Lissu ni mchaga.Ndiye atakayemuuliza maswali yasiye na kona kona....ZItto anamjua na atamkwepa kama chui aonapo simba.
Naona unajitahidi sana kumsafisha Zitto humu JF.
Lakini kwa jinsi alivyovuliwa nguo humu ndani ni bora ukakaa kimya, sidhani kama utafanikiwa.