Mimi naona Watanzani tuwe na akili kama itakuwa kila mtu akipata umaarufu kidogo anakuwa tofauti na wenzake halafu ushauri anaopewa na watu amba tunaona ni wasomi hawana tofauti na waganga wa kienyeji eti ANZISHA CHAMA tutakuwa na vyama vingi vya siasa kuliko nchi yoyote ile kutokana najeuri za kipumbavu,tamaa za madaraka hata kwa ambao hawana sifa za uongozi
Suluhisho ni kukaa kujadili hayo matatizo na kuyapatia ufumbuzi ndio uanasiasa lakini sio ushauri mufilisi wa kuanzisha chama cha siasa ok ukishaanzisha huko tena ukuhitilafiana na wenzako unaanzisha chama kingine?
Aliyetoa wazo hili anafaa kuwa mganga wa kienyeji nafikiri ni taaluma nzuri kwake
Suluhisho ni kukaa kujadili hayo matatizo na kuyapatia ufumbuzi ndio uanasiasa lakini sio ushauri mufilisi wa kuanzisha chama cha siasa ok ukishaanzisha huko tena ukuhitilafiana na wenzako unaanzisha chama kingine?
Aliyetoa wazo hili anafaa kuwa mganga wa kienyeji nafikiri ni taaluma nzuri kwake