Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Status
Not open for further replies.
Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde hama chake ambacho yeye atakuwa mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko.

Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015 lakini mwaka wowote ule.....CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..hii now iko waazi mno.

Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...basi ni bora ajipange now.

Mimi naona this way it is better kwa kila mtuZitto na CHADEMA pia.

Kimsingi Zitto amelewa sifa na anafikiri kuungwa mkono na Rostam ndo mpango, watz hatutaki nchi kukabidhiwa kwa fanyabiashara tunataka nchi yenye dira, yenye viongozi makini kama Dr. Slaa na si watu wanaoongozwa na majeshi ya mizimu na misukule ya ujiji. angalia Kigoma pamoja na kuwa mji wa kihistoria imeshindwa kupiga hatua kwa sababu hizo za kishirikina, huwezi amini Kigoma imeanza upya kwa kujengwa makazi mapya maeneo ya mji mpya, mji mwema, Kilimahewa n.k huko ndo unaweza kukuta nyumba mpya huku ujiji ikibaki na magofu yaliyoachwa na waarabu. Hatutaki kuanza upya kama Kigoma tunataka kuboresha na kuendeleza nchi yetu na si kuikabidhi nchi kwa waganga wa kienyeji ambao hawajui hata faida za usafi maana siku zote wao hugalagala chini pasipo hata tandiko la aina yoyote! samahani kwa wale ntakaokuwa nimewakera, lakini imenibidi niseme
 
huyu jamaa bwana ananikumbusha mbali sana kuna.... nilimpenda sana mara oo we mzuri, unavutia ,unakubalika,vijana wengi,tunakupenda mara akaota pembe yeye ndo yeye.nikapiga chini;baada ya muda kafulila ile mbaaya anatamani iwe kama zamani ila sina time naye tena.sisemi apigwe chini ila akileta nyodo aambiwe ss hatupendi kama vipi aaunde chama chake chenye kuufuata itikadi zake na huyo j awe katibu tukutane 2015
 
To hell with him!!
He is just there playing dirty games.
Chadema was absolutely there before his presence in da party and will be there even after his departure!
What a shit traitor he is?
we had a talk on da entire attitudes of this guy over the party in a number of few months past.
It was like a matter of jealousy to him, but it has gradually started pilling itself off. Consequently, an objective truth is revealing itself to every person with a fully developed brain.
whether retained Or discarded,the person is just there for his own interests and not for the interests of the needy ," poor ordinary people".
For,he is deliberately creating and instigating a lot of controversies in the party for his own sake.
Along the line,Zitto isn't a good politician cause he knows nothing about handling others' weaknesses if any. What he merely wants, is to be seen as an emerging hero over a certain particular phenomenon, something very very dreadful!!!!!!
He got to know that, a good father in a family is the one who is fully acquainted with an outstanding ways of resolving problems and quells them down instead of fueling the conflicts within his homestead and see whether the entire family is confronted with joy and happiness as a part and percel of their prosperous life so far.
I saw the guy right from the word go as becoming an uprising giant of betrayal in the party.
As far as I remember it well, I had some few comments on the threads winding up much about his involvement as well as his close-link to the ruling party during 2010 campaigning rallies in the general election.
I said,I saw him no where, neither heard him elsewhere standing up-right via chadema's political platforms nor any other political podiums selling his party's presidential manifesto for vote seeking."l never heard him seeking votes for Dr. Slaa to become a president of the country during the campaigning rallies held on those days, knowing exactly what was taking place between JK and himself all the way long.
Whosoever remembers this, shall remind me on this saga,by the way.

On my side, those things and many more of the like left under the carpet were as a symptomatic identifications of the problems or concerns at hand.
watch out!! this guy is very dangerous indeed.
Just for a good will!!
 
Nakuunga mkono ! Kahongwa akiwa kamati ya madini na nishati , rais gani tena labda wa kigoma.
 
bila kujali kwamba tuhuma za ben saanane na wengine ni kweli au sio kweli naona ni busara kwa zitto now ajitoe chadema na aunde hama chake ambacho yeye atakuwa mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo ccm na chadema na kwingineko.

Sioni ni vipi zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia chadema sio tu 2015 lakini mwaka wowote ule.....chadema will never be the party for him to vie for the presidency..hii now iko waazi mno.

Na zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...basi ni bora ajipange now.

Mimi naona this way it is better kwa kila mtuzitto na chadema pia.

I concur with you
 
ZITTO ZUBEIR KABWE hakika wewe ni ZITTO kweli. Tunajua ulivyojitolea kwenye CDM muda akili na mali zako sasa kama kuna watu ndani ya CDM wanakuchukia wewe usilipize chuki kwa chuki .Unakubalika sana huku mitaani na nyota yako imepangiwa kung'aa itang'aa tu .Wewe ni mtu wa misimamo na wala hutetereki kufikia maamuzi. CDM ni chama au taasisi kam vile TLP UDP na ADC. Kwanza nakusifu ulivo mvumilivu usibabaishwe na hiv kina sa nane watoto wa dogo hawa na historia itawahukumu wote wanaokupangia mabaya yakufike. Ni wakat wako wa kujiondoa chamani hata kama familia yako haitaridhia waachie wenye chama wafanye wanavyotaka ..nakumbuka sana mzee mtei alipoacha kuvuna kahawa kule moshi ns kuja haraka dar kuja kukuomba umuachie mkwe wake kiti cha uongozi wa mwenyekiti. HAMA CHADEMA HAWAKUTAKI WAACHIE CHAMA CHAO.
 
ZITTO ZUBEIR KABWE hakika wewe ni ZITTO kweli. Tunajua ulivyojitolea kwenye CDM muda akili na mali zako sasa kama kuna watu ndani ya CDM wanakuchukia wewe usilipize chuki kwa chuki .Unakubalika sana huku mitaani na nyota yako imepangiwa kung'aa itang'aa tu .Wewe ni mtu wa misimamo na wala hutetereki kufikia maamuzi. CDM ni chama au taasisi kam vile TLP UDP na ADC. Kwanza nakusifu ulivo mvumilivu usibabaishwe na hiv kina sa nane watoto wa dogo hawa na historia itawahukumu wote wanaokupangia mabaya yakufike. Ni wakat wako wa kujiondoa chamani hata kama familia yako haitaridhia waachie wenye chama wafanye wanavyotaka ..nakumbuka sana mzee mtei alipoacha kuvuna kahawa kule moshi ns kuja haraka dar kuja kukuomba umuachie mkwe wake kiti cha uongozi wa mwenyekiti. HAMA CHADEMA HAWAKUTAKI WAACHIE CHAMA CHAO.

Mtammezea mate lakini hamumpati... Zitto ni CDM damu
 
Kweli hatumtaki hatuwezi endelea kaa na mnafiki,kigagula,msaliti na mtengeneza majungu na makundi kwa nyie mnaofurahia mtu mwenye sifa hizo mchukueni,. Akija anza huo ujinga wake ndio mtaona,.kumbukeni Kunguru hafugiki

humtaki wewe na nani? Zitto hamna kutoka baki hapo mpaka tuone hao wasipenda demokrasia watafanya nini.
 
Masalia PM7 yanatapatapa.


user-online.png
ALWATAN KIZIGO

Today 12:14
#1
Member Array


Join Date : 21st December 2012
Posts : 10
Rep Power : 303
Likes Received1
Likes Given0
 
Zitto alilewa sifa baada ya kupata umaarufu akaona anaweza kufanya lolote.Kwanza anatakiwa awashukuru wazee waliomshauri asigombee maana hawezi kuongoza taasisi kama hiyo.Kwa nini hatulii? Anawashwa na nn kwenye masaburi? Ni nani anayemwamini na kumpa madaraka makubwa kwenye chama? Hata mnapomtetea kwamba eti amefanya mambo makubwa chadema,James mapalala alifanya makubwa sana CUF ni mwasisi wa chama lakini alitimuliwa.Ashukuru siasa uchwara za tanzania vinginevyo angetimuliwa zamani sana
 
Binafsi siwezi mshauri zitto kuondoka cdm.watanzania wa leo ni very strong katika kuwabaini wanasiasa wanaohama hama vyama. Watanzania wengi hawapendi kuwaona wanasiasa wakibadilikabadilika. Cha kufanya zitto aendelee baki cdm,ila kwa vile yeye ni binadamu kama kuna sehemu alikosea anawezd tubu na kusonga mbele. Watanzania wana kiu ya mabadiliko.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom