Zitto mzembe kweli, eti mimi ni mtu wa msimamo, mimi ni mzalendo na ujinga mwingine kam avile hajui, ktk wezi na wachawi kuna wazalendo wa hayo maendeo.Hajui kuwa talibani walikuwa na mismamo ila ni misimamo iliyopotoka.Sasa hicho anachokisema lazim aathibitishe kwa vitendo.Huyu prezoo kaishiwa sana kifikra,sijui alikuwa na demu kamdanganya kuw anaweza kuwa rais?
Hizi ni product za kishenzi za university of UDSM.Hata maprof wao ni vimeo, wapika researches ni wanaojikomba kwa wanasiasa,ndio wanaona bado kuna roll model ktk CCM ya leo na jana. CCM haijaawahi kuwa chama kizuri ktk uhai wake.Iliwahi kuw ana watu wazuri ila haikuwa hawakuwa wengi kwa kiasi cha kukiita chama makini.
Miaka yote watanzania wamekuwa na fikra duni sana mbele ya mataifa dhaifu, kwa ujinga wa ccm na propaganda za kijamaa zenye influence ya middle of all madness zilizokuwa zikihubiriwa ktk UDSM.last Time namsikiliza marehemu Prof ahroub othman BBC idhaa ya kiswahili, na ktk VOA akionge katika simu ktk kipindi cha Shaka SSali nilipata sana shida kuamini kuwa alikuwa akiongea prof.alikuwa na fikra kama za Ritz,mwepesi kubadili anchoongea mara anapoona reaction ya watu, mwepesi kushambua US na Israel, mwepesi kudandia mawazo ya analyst wengine bil akuweka chake.Huo uchafu upo miwingi san UDSM hasa political science.
Mbaya wamekuwa wakialika watu wa kishenzi wenye mitizamo ya kishenzi kuwa wasemaji wao.