THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,748
- 15,084
kigoma ikiendelea toa watu wa hovyo hivi basi itakuwa na miak amingi sana kupata maendeleo.hata yakijengwa majengo mengi sana miradi mingi, generation moja tuu wanarudi ktk tope.tazama kafulila, tazama zitto, walikuwa ktk best position ya kuwa nyota na tumaini la vijana ktk miaka michache ijayo.sasa wamekuwa viumbe wa hovyo kihivyo.wamekuwa laana ya mikoa yao.kafulile akiwa kijana mdogo, kaharibu cdm , kaenda haribu nccr, kilio alichotoa pale akiwa na waandishi wa habari kilionyesha wazi jinisi alipaswa jua kuwa zitto si mtu mwema na kumfanya kuwa boss i makos amakubwa sana.
Kama kawaida ikulu ikasaidia mchakato, bado anarudi tena cdm kupika majungu na ujinga mwingine.hii ni laana kwa kigoma.inabidi muache uchawi na ujinga mwingine.mnapotea kirahisi sana kwa tamaa ya vitu ktik maisha.najua kuna vibarua wengi sana kigoma huwa wakitoka hawapendi kurudi tena nyumbani kwao kw ajinsi wanavyoridhika na hivyo vibarua ktk majumba ya watu,ila sikutegemea haya kwa vijana kama kina zitto, na kafulila.nini hawajaona hadi wawe kama maiskini waliotafunwa sana na umasikini kiasi ch akufanya washindwe jua wapi wajishike.
zile meseji alizotuwekea ben saa nane hapa jamvini za mawasiliano baina ya zito na kafulila ni ushahid tosha kabisa ni kwa jins gani hao jamaa walikosa haya,walivokosa utu,walivokosa adabu na uzalendo,wanapanga kuhujumu chama wazi wazi hali ya kua wao wanashibisha matumbo yao kupitia vyama hivi hivi wanavovihujum,,lengo lao hasa lilikua ni lipi??chadema ingeanguka wao wangejivunia kipi??na kip kinachowapa ujasiri wa kuwepo hapo walipo sasa??
Wamekosa uti kabisa na uzalendo,leo zito anashupalia kabisa kuchafuliwa kwa chadema na viongozi wake akiulizwa anakuja kwa kauli za kebehi na matusi,,mimi mwenyewe humu humu nilimuulzia nia yko ni nin??kanijia juu na kunitusi kwa kuniita coward,,posts zake zipo humu ndani za majibu yake juu yangu,amekua kiburi na asieshaurika kabisa
aondoke,tunamshukuru kwa yote mazuri aliyoyafanya,,sasa kwa gia hii ya kukiua chama sisi hatutaikubali na tunamwomba tuh kwa wema aondoke atuachie chama chetu cha kichaga,cha ukanda n,k,,kama anavosema yeye,ila aondoke enough is enough,,go zitto,goo...