Ushauri wa bure kwa Waislam

Ushauri wa bure kwa Waislam

Status
Not open for further replies.
tuwaache kwani nani kawashika mikono? wao ndio watuache na nchi yetu isiyo na dini. Kwani waislamu wakiwa na mahakama ya kadhi kama Uingereza inakuwaje? kwa nini wao walazimishe iwe kwenye serikali? ikikaa huko huko misikitini inakuwaje?
Unanichekesha wewe maneno yako hii nchi ina sheria zake ukitaka kuanzisha kitu itabidi mpaka upitie Serikalini uombe ruhusa ili wakuruhusu ndipo utakapo anza kazi yako pasipo na ruhusa huwezi kufanya unayoyataka utakuwa umevunja sheria ukijiamulia mwenyewe kivyako. Kama kitu hujuwi uliza sio kupenda kulaumu Mahakam ya kadhi ni ya waislam peke yake Kama ni wewe ni mkristo haikuhusu Mahakama ya Kadhi. waachie wenyewe Waislam na Mahakama yao ya Kadhi wewe tulia nyamaza waone watafanya kitu gani kwenye hiyo mahakam yao ya Kadhi. Mambo ya Ngoswe Muachie mwenyewe Ngoswe wewe hayakuhusu.
 
Unanichekesha wewe maneno yako hii nchi ina sheria zake ukitaka kuanzisha kitu itabidi mpaka upitie Serikalini uombe ruhusa ili wakuruhusu ndipo utakapo anza kazi yako pasipo na ruhusa huwezi kufanya unayoyataka utakuwa umevunja sheria ukijiamulia mwenyewe kivyako. Kama kitu hujuwi uliza sio kupenda kulaumu Mahakam ya kadhi ni ya waislam peke yake Kama ni wewe ni mkristo haikuhusu Mahakama ya Kadhi. waachie wenyewe Waislam na Mahakama yao ya Kadhi wewe tulia nyamaza waone watafanya kitu gani kwenye hiyo mahakam yao ya Kadhi. Mambo ya Ngoswe Muachie mwenyewe Ngoswe wewe hayakuhusu.

Acha kupotosha. Watu hawataki walipakodi wasiokuwa waislamu kulipia mahakama yenu ya kadhi. Ni sawa na mimi mmasai nitake serekali ilipie mahakama za milazetu za kimasahi kusuluhisha kesi za ng'ombe huku dini yetu ikisema ngombe zote duniani nizakwetu wamasahi na kuibia watuwengine ng'ombe ni halali
 
Unanichekesha wewe maneno yako hii nchi ina sheria zake ukitaka kuanzisha kitu itabidi mpaka upitie Serikalini uombe ruhusa ili wakuruhusu ndipo utakapo anza kazi yako pasipo na ruhusa huwezi kufanya unayoyataka utakuwa umevunja sheria ukijiamulia mwenyewe kivyako. Kama kitu hujuwi uliza sio kupenda kulaumu Mahakam ya kadhi ni ya waislam peke yake Kama ni wewe ni mkristo haikuhusu Mahakama ya Kadhi. waachie wenyewe Waislam na Mahakama yao ya Kadhi wewe tulia nyamaza waone watafanya kitu gani kwenye hiyo mahakam yao ya Kadhi. Mambo ya Ngoswe Muachie mwenyewe Ngoswe wewe hayakuhusu.

Hilo sio kweli, hakuna sheria yoyote inayokataza muislamu kuamua mambo yake ambayo sio ya jinai. tena kwa mambo kama talaka na hayo ya kifamilia ukienda mahakama ya serikali, serikali yenyewe itakuambia kwanza uende kujaribu kusuluhisha kifamilia au kidini kabla hujaenda kisheria za serikali zaidi.
Waislamu wanaruhusiwa kabisa kuunda mahakama zao bila kuihusisha serikali. Tatizo ni wahabi wanataka mahakama hiyo iwe sehemu ya mfumo wa mahakama za serikali ndio ugomvi unaanzia hapo.
 
Unaposema hazitatambuliwa kisheria, je ndoa mnazofungishana msikitini nazo ni batili? Mbona vyeti mnapeana huko miskitini a si ahakamani? Kuhusu watoto nje ya ndoa mnapowazaa mnataka wao warithi wapi? Au mnataka wawe wezi mitaani? Kuna mambo mengine yanahitaji busara kuyatatua na si kukaririshana kwa sharia. Je ungekuwa wewe ndo umezaliwa nje ya ndoa ungejisikiaje. Makosa wafanye wazazi wahukumiwe watoto... Tuweni na huruma inaniuma sana.
Asalaam Aleykum!! Quran haiwezi kubadilishwa ingawa kuna watu wamejaribu kuichakachua na watashindwa. Quran ni hii hii dunia nzima, herufi kwa herufi, neno kwa neno, leo na kesho. Hivyo basi swala la urithi limeandikwa kwenye Quran halitabadilika kwa matakwa binafsi. Na huyo mtoto ajitambue kuwa ni wa mama kwa mujibu wa Quran na kama amepata mafunzo ya dini ya Kiislam vizuri hatajisikia vibaya. Na kama huyo anayejiita baba (kwa fikra za kibinadamu) basi naona amgawie chake mapema kama zawadi tu kabla hajafa, ila huyo hana urithi (wengi wanafanya hivyo). M/Mungu aliamua hivyo akiwa na maana yake. Nakushauri umtafute Shehe aliyekaribu nawe upate ufafanuzi mzuri au akuelimishe.
 
kwani ikiwa kwenye katiba hata wakristu watalazimishwa kwenda huko? mf. umezinguana na muislamu au itakuwaje?.... Hivi kuna wanawake wanaweza kwenda kwa kadhi kuamua mirathi....maana sheria zao huko mwanamke hapati kitu

Sio kweli wanawake wana haki zao katika mirathi, ikiwa ni mke wa ndoa, mtoto wa kike n.k yote haya yameandikwa katika Quran Takatifu. Nakubali kuna watu wanapotosha kwa tamaa zao au dhulma. Na watahukumiwa kwa hilo mbele ya Mwenyezi Mungu.
 
hivi mnaelewa mnachokidai??? Hivi tanzania kuna waislam kweli???
Wenzenu wanatamani maisha tunayoishi tanzania na kukimbilia kwetu huku,, kuwa imani hiari yako wether you are muslim or christian,, no one bother.. Hebu basi muwe na shukrani na maisha haya tuliyonayo..

Hivi mnajua huko wenzenu wakizini ni wanauwawa,, ukiiba wanakatwa mikono..

Mi nadhani ifike kipindi mjue hii nchi ni ya dini zote haina dini moja tuuu..

Kwa hiyo unaukumbatia na kuufurahia uzinifu na wizi?
 
Mahakama ya kadhi ni jambo ambalo waislam mlitakiwa muamue,ila kwa kua hamna maamuzi zaidi ya kuwaomba wakristo waamue mambo yenu msitegemee kuipata hata siku moja
 
nijuavyo mimi kama mtanisahihisha,
mahakama ya kadhi hukumu zake ni zile za kupigwa mawe hadharani hadi kufa ikiwa kadhini na mke wa mtu na ile ya kufukia mwanamke hadi kichwa na kukipiga mawe hadi afe,na ile ya kumchinja kama kasaliti dini ya kiislam......
_kama ni hivyo na isiwepo milele hiyo koti of Islamic
 
Nikiwa kama muislamu naunga mkono mahakama ya kadhi iwepo kwa mujibu wa sheria. Lakini suala la kuiendesha kwa kodi ya jumla ndio siungi mkono, naona itapelekea kuendeshwa na pesa chafu za wauza pombe na nguruwe.
Mimi mawazo yangu ni kuunda kitengo maalumu ndani ya TRA ambacho kazi yake itakuwa kukusanya kodi ya kuendeshea mahakama ya kadhi tu. Kitengo hiki kiwe na kitu kama fomu hivi ambayo walipa kodi wakiislamu wenye TIN wata declare kwa hiyari yao kuongezewa percent ndogo kwenye kodi wanazolipa kuendeshea mahakama ya kadhi. Naamini waislamu ni walipa kodi wazuri na wanaipenda dini yao, hawawezi kupinga utaratibu kama huu.

Angalau kidooogo muisilamu wewe umeonyesha upevu wa kutoa njia ya nini kinatakiwa kufanyika, washauri na wenzio wachemshe bongo zao na kuja na angalau mapendekezo chanya na waambie wakubali kushauriwa!
 
tuwaache kwani nani kawashika mikono? wao ndio watuache na nchi yetu isiyo na dini. Kwani waislamu wakiwa na mahakama ya kadhi kama Uingereza inakuwaje? kwa nini wao walazimishe iwe kwenye serikali? ikikaa huko huko misikitini inakuwaje?

MziziMkavu,
Acha kuwatafuta ubaya waislam, yani unasema Boko Haram ni Waislam, unaamaana uislam ni ugaidi? Ngoja waje utashambuliwa balaa.
 
Unanichekesha wewe maneno yako hii nchi ina sheria zake ukitaka kuanzisha kitu itabidi mpaka upitie Serikalini uombe ruhusa ili wakuruhusu ndipo utakapo anza kazi yako pasipo na ruhusa huwezi kufanya unayoyataka utakuwa umevunja sheria ukijiamulia mwenyewe kivyako. Kama kitu hujuwi uliza sio kupenda kulaumu Mahakam ya kadhi ni ya waislam peke yake Kama ni wewe ni mkristo haikuhusu Mahakama ya Kadhi. waachie wenyewe Waislam na Mahakama yao ya Kadhi wewe tulia nyamaza waone watafanya kitu gani kwenye hiyo mahakam yao ya Kadhi. Mambo ya Ngoswe Muachie mwenyewe Ngoswe wewe hayakuhusu.

waislamu wanataka wagharamiwe na hilo haliwezekani hio serikali mnayotaka iwaanzishie, imeshawaruhusu muanzishe wenyewe.
 
Waajiriwa wa hicho kitengo ndani ya TRA watalipwa na nani? Kodi za wengine wasio waislamu pia? Kama sio basi kwa nini isiwe nje ya mfumo wa serikali inayojumuisha wote? Wakristo, waislam,wapagani nk? Tujihukumu waislamu wenyewe na kama kuna mwislamu ataona kaonewa na kadhi au aache uislamu au amezee ila mahakama isipokee shauri hilo isipokua tu kama kuna uvunjwaji wa haki za binadamu ambapo kadhi na mtu mwingine yeyote apaswa kuheshimu duniani kote.
 
Kwa hiyo unaukumbatia na kuufurahia uzinifu na wizi?

Hapana sikumbatii lakini kwani wewe hutendi dhambi?? Mungu wetu ametupa uchaguzi na tumchague yeye kwa hiari yetu mwenyewe.. Angeweza kukupa adhabu pale tuu utendapo dhambi na kufa hapohapo lakini kakuacha uchague dunia ama yeye.. Umetenda dhambi ngapi mpaka umefika umri wako huo lakini bado kakupa pumzi ili upate mda wa kutubu dhambi zako Sasa ni jukumu lako unataka kwenda wapi mbinguni ama kwa shetani?? Wewe ni nani wa kuhukumu kuua mtu kwasababu kazini?? Do not judge and you should not be judged..
 
waislamu wanataka wagharamiwe na hilo haliwezekani hio serikali mnayotaka iwaanzishie, imeshawaruhusu muanzishe wenyewe.
Hata kama Serikali haitoweza kugharamia hiyo Mahakama ya kadhi wafadhili wapo na wataweza kutoa misaada ya Mahakama ya kazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom