Ushauri wa bure kwa Waislam

Ushauri wa bure kwa Waislam

Status
Not open for further replies.
Ninazo hoja kidogo ambazo nadhani zinaonshesha mahakama ya kadhi itakuwa na maslahi kwa watanzania wote 1. Sheria nyingi za serikali zilirithiwa kutoka ukoloni amba zo pia zilikuwa influenced zaidi na ukristo kwa hiyo haziwafai waislamu. 2. Pia kitu cha kufahamu ni kuwa mambo yakiamuliwa kijamii hayana uzito kisheria kwa hiyo ni muhimu mahakama ya kadhi kupewa. 3. Kila mtanzania ana haki ya kupata haki mahakamani kwa mujibu wa sharia , kwa hiyo mahakama ya kadhi inastahiki kusimamiwa na kugharamiwa na serikali sababu ni wajibu wa serikali kuhakikisha haki inatendeka 4. Mahakama ya kadhi sina sifa ya kusikiliza kesi na kutoa hukumu kwa mda mchache kuliko mahakama za serikali kwa hiyo hii itapunguza gharama serikalini na pia kupunguza idadi za kesi zinazongoja kusikilizwa.. 5. Mahakama ya kadhi haitatumika pale mtu wa dini nyingine anapo husika kama mdai au mshutumiwa au wote watake na wakubali uamuzi. 6. Hizi mahakama zipo nchi nyingi na zina fanya bila tatizo 7. Makosa ya jinai yatakuwa ni jukumu la mahakama za serikali
 
Ninazo hoja kidogo ambazo nadhani zinaonshesha mahakama ya kadhi itakuwa na maslahi kwa watanzania wote 1. Sheria nyingi za serikali zilirithiwa kutoka ukoloni amba zo pia zilikuwa influenced zaidi na ukristo kwa hiyo haziwafai waislamu. 2. Pia kitu cha kufahamu ni kuwa mambo yakiamuliwa kijamii hayana uzito kisheria kwa hiyo ni muhimu mahakama ya kadhi kupewa au kutambuliwa kisheria . 3. Kila mtanzania ana haki ya kupata haki mahakamani kwa mujibu wa sharia , kwa hiyo mahakama ya kadhi inastahiki kusimamiwa na kugharamiwa na serikali sababu ni wajibu wa serikali kuhakikisha haki inatendeka 4. Mahakama ya kadhi sina sifa ya kusikiliza kesi na kutoa hukumu kwa mda mchache kuliko mahakama za serikali kwa hiyo hii itapunguza gharama serikalini na pia kupunguza idadi za kesi zinazongoja kusikilizwa.. 5. Mahakama ya kadhi haitatumika pale mtu wa dini nyingine anapo husika kama mdai au mshutumiwa au wote watake na wakubali uamuzi. 6. Hizi mahakama zipo nchi nyingi na zina fanya bila tatizo 7. Makosa ya jinai yatakuwa ni jukumu la mahakama za serikali
 
Ukiupenda chukua usipoupemda sepa.

Nawashauri waislam kwakuwa mahakama ya kadhi ni ibada waunde jumuiya ndogondogo za waislam ambazo watafanya ibada zao huko na watashitakiana ndoa zao huko na watapeana talaka huko. Ndoa zitasuluhishwa na Waislam wenyewe. Hii itakuwa rahisi kwakuwa waislam wote ktk jumuiya zao watakuwa wanafahamiana. Hii waendeshe kama idara fulani ndani ya jamii zao na hili ni jambo dogo sana ambalo halina sababu za msingi kuliweka kwenye katiba. Ni kama vile wakrisito walivyounda jumuiya zao wala hawakuomba ziandikwe kwenye katiba kwasababu walijua ni ibada yao sio jambo lakitaifa na hivyo halihitaji kuandikwa kwenye katiba.

Kuhusu mirathi tunazo mahakama za serikali iliyochaguliwa na wananchi wote ambazo zinafanya vizuri na zina utaratibu mzuri wakusimamia mirathi hivyo mirathi ya waislam itashughulikiwa huko. Sioni hoja wala sababu ya msingi waislam kutaka mahakama yao special kwa ajili ya mirathi wakati tayari kuna mahakama inasimamia mirathi hivyo hakuna ulazima wakuandika kwenye katiba.

Karibuni tujadili kwa hoja, matusi njoo PM tutukanane mpaka nikukomeshe.
Kwani ungenyamaza koo lako lingetoboka?....hayakuhusu haya ya mahakama ya kadhi yann yakushughulushe?
 
kumbe tanzania na serikali ni wana dini tena ya kislaamu bora umetufumbua macho tulikuwa hatujui kuwa serikali kumbe ina dini ya kiislamu,

itabidi damu imwagike sasa kumbe mnatuzingua hivyo; tutachinjana na kulana mpaka kielekeweke
Tatizo nyie Walokole wa Kikristo kitu gani kina waumiezeeni kichwa kusikia Waislam wanataka Mahakama ya Kadhi? mbona hamnyamazi kimya mukaiacha Serikali na hao Waislam? Mbona munaingilia mambo ya ngoswe muachieni ngoswe mwenyewe Walokole kaeeni na imani yenu na Muwaachieni Waislam na Mahakama yao ya kadhi eeehhhh.
 
kumbe tanzania na serikali ni wana dini tena ya kislaamu bora umetufumbua macho tulikuwa hatujui kuwa serikali kumbe ina dini ya kiislamu,

itabidi damu imwagike sasa kumbe mnatuzingua hivyo; tutachinjana na kulana mpaka kielekeweke

Mnaweza kuchinjanaa au mtawaita .....
 
Waislamu kama hao si ndio hao waliojaaa bungeni wanaburuzwa na Wakirsto. Hawajielewi, hawajitambui. Wengine Mishungi mikubwaa Wanaudhoofisha tu Uislamu.

Wakristo kuwaburuza waislam ni jadi yao wala huna haja ya kuuliza,hata tukiamua tunaweza kuwapa mahakama ya kadhi na bado tukawaburuza makadhi. Kuhusu kuwaburuza waislam wala usilalamike,ni kawaida ya wakristo.
 
Na wewe ni nani aliekupa haki ya kuwa muislam safi zaidi ya wengine? Kama hiyo haki umejipa mwenyewe basi kwanini na waislam wengine wasijipe haki kama wewe?! Huo ni ubinafsi ukishaona muislam mwenzako katofautiana na mtazamo wako unambandika jina la muislam asiye na msimamo, kwani wewe ndie ulieteuliwa na allah kupanga viwango kwa waislam wengine!?

Usimshangae,alichokisema ni kweli,uislam hauruhusu reasoning,muislam akiwa moderate na muelewa wanasema sio muislam halisi,ukiuliza muislam halisi anatakiwa aweje huambiwi. Ina maana muislam halisi ni asiekua muelewa,asiependa majadiliano,mgomvi,mtu wa vurugu nk. Mtu akiwa muislam hana hizo tabia wanamuita muislam fake.

Mahakama ya kadhi ni ndoto za mchana kweupee,haitakaa itokee kamwe Tanzania.
 
Nikiwa kama muislamu naunga mkono mahakama ya kadhi iwepo kwa mujibu wa sheria. Lakini suala la kuiendesha kwa kodi ya jumla ndio siungi mkono, naona itapelekea kuendeshwa na pesa chafu za wauza pombe na nguruwe.
Mimi mawazo yangu ni kuunda kitengo maalumu ndani ya TRA ambacho kazi yake itakuwa kukusanya kodi ya kuendeshea mahakama ya kadhi tu. Kitengo hiki kiwe na kitu kama fomu hivi ambayo walipa kodi wakiislamu wenye TIN wata declare kwa hiyari yao kuongezewa percent ndogo kwenye kodi wanazolipa kuendeshea mahakama ya kadhi. Naamini waislamu ni walipa kodi wazuri na wanaipenda dini yao, hawawezi kupinga utaratibu kama huu.

Dah. Kiwango chako ch kufikiri ni kidogo sana.
 
Wakristo kuwaburuza waislam ni jadi yao wala huna haja ya kuuliza,hata tukiamua tunaweza kuwapa mahakama ya kadhi na bado tukawaburuza makadhi. Kuhusu kuwaburuza waislam wala usilalamike,ni kawaida ya wakristo.

Hoja yako inaukweli kiasi flani. Tatizo ni pale aneburuzwa anapokua ameshituka kua Anaimbiwa nyimbo ya Amani ili kumzuga tu aendelee kunyonywa. Sasa nini kitafuatia hapo ndipo patamu sasa!
 
Div 5 utaijuwa,utaingiliaje jambo lisilokuhusu.

Div 5? ha ha ha! nina uhakika huna hata nusu ya academic performance yangu. Hili linanihusu kwasababu zaidi ya nusu ya ndugu zangu ni waislam na hiyo ina maanisha kuwa iwapo kama mahakama ya kadhi itakubalika, ndugu hao wako katika janga kubwa sana.
 
kumbe tanzania na serikali ni wana dini tena ya kislaamu bora umetufumbua macho tulikuwa hatujui kuwa serikali kumbe ina dini ya kiislamu,

itabidi damu imwagike sasa kumbe mnatuzingua hivyo; tutachinjana na kulana mpaka kielekeweke
Kwani wewe huna habari? Amka basi Serikali dini yake ni CCM Chama Cha Mapinduzi . Na Tanzania Kuna Dini mbili kubwa Dini ya Kiislam na Dini ya Kikristo amka bibie upo usingizini wewe ladyfurahia
 
Last edited by a moderator:
Mtaumia sana akili zenu nyie msiopenda Mahakama ya Kadhi Tuachieni na Mahakama yetu ya Kadhi muna dini yenu na sisi Tuna dini yetu musipende kutuingilia dini yenu kaeni kwenu na sisi tuachieni na Mahakama yetu ya Kadhi. Mambo ya ngoswe muachieni ngoswe mwenyewe mtoto wa nje ya ndoa hatambuliki katika dini ya kiislam kuwa ni mtoto wa halali kazi kwenu walokole.Mutajibeba wenyewe msio taka mahakama ya kadhi.

Tatizo ni uwezo mdogo wa kufikiria. Yaani tuishi nchi nchi moja lakini dini moja itambulike kwenye mahakama wakati na sisi wamasai tuna dini zetu zisitambulike. Mahakama ya kadhi ni sawa na ubaguzi wa afrika ya kusini ulioweka sheria tofauti kwa wazungu na sheria kwa waafrika.
 
kumbe tanzania na serikali ni wana dini tena ya kislaamu bora umetufumbua macho tulikuwa hatujui kuwa serikali kumbe ina dini ya kiislamu,

itabidi damu imwagike sasa kumbe mnatuzingua hivyo; tutachinjana na kulana mpaka kielekeweke

Tatizo ni uwezo mdogo wa kufikiria. Yaani tuishi nchi nchi moja lakini dini moja itambulike kwenye mahakama wakati na sisi wamasai tuna dini zetu zisitambulike. Mahakama ya kadhi ni sawa na ubaguzi wa afrika ya kusini ulioweka sheria tofauti kwa wazungu na sheria kwa waafrika.
[h=1]NAFASI YA WAISLAM NA KATIBA MPYA TANZANIA - USTADH ILUNGA[/h]




 
Last edited by a moderator:
NAFASI YA WAISLAM NA KATIBA MPYA TANZANIA - USTADH ILUNGA








MziziMkavu bado unazidi kuonyesha uwezo mdogo wa kufikiria na ujuzi wako mdogo kwa kuwa mtu wakumsilikiza Ilunga. ushauri fuatilia Tume ya kubadilisha sheria ya profesa Ibrahim Juma (Bingwa wa sharia law) ambayo pia ilisema serekali haiwezi kuanzisha mahakama ya kadhi. Huwezi kuwa na sheria tofauti kwa makudi tofauti ukawa na nchi moja. Ndio maana na sema na sisi wamasai tutadai na dini zetu zisitambulike ili tukiiba ng'ombe iwe halali kwasababu ndio Dini yetu inasema Ngomezetu dunia ni zetu wamasai na watu wengine wenye Ng'ombe wanatutunzia tu. Wakristo nao hawatambui talaka na kama mume na mke wakiachana haitambuliki kisheria wakati waislam mna talaka sijui tatu. Mahakama ya kadhi ni sawa na ubaguzi wa afrika ya kusini ulioweka sheria tofauti kwa wazungu na sheria kwa waafrika.


Hata raisi wennu zaifu alisema hapa (https://www.youtube.com/watch?v=Pk_ZyYwdIpE) ila tatizo CCM wanataka kubaki madarakani na wako tayari kufanya lolote iliwabaki madarakani ndio wanaleta siasa za makama ya kadhi. Hata Kenya mahakama ya kadhi iliingizwa kisiasa tu ila kama kweli unaangalia uwasa wa wananchi wote katika sheria huwezi kukubali mahakama ya kadhi. Waisilamu wenyewe bado hata amukubaliani jinsi ya kuziendesha maana wengine wanasema wanawake hwaruhusiwi kuwa kadhi wakati wangine wanakata kwa kisingizio cha Kadhi mwanamke hawezi kufungisha ndoa akiwa mwezini (https://www.youtube.com/watch?v=Ux_gaR4NxKY). Sasa kweli serekali inatakiwa kuingia kwenye mjadala wa ndoa sio halali kwasababu kadhi aliyefungisha ndoa alikuwa mwezini.
 
Last edited by a moderator:
Laah,kuna mmoja wa walokole hapa nimemsoma katoa vitisho sana dhidi ya waislam,hayo kaeni nayo nyinyi wenyewe sisi hatuhusiki na matatizo yenu,nimegundua kuwa wengi mnaoipinga hii mahakama ya kadhi dini na vijitabu vyenu havina sheria zozote zile za governance,ila ni riwaya pekee ka za Abunu Wasi utopia na hivyo basi kutokana na kutokuwa na sheria za kiutawala ndani ya dini zenu,hasira zenu zote mnaelekezea kwa wenye dini na imani ya kweli iliyowekwa kwa sababu ya kuutawala ulimwengu.Kuna kitu kinaitwa husda hiyo ndiyo inawasumbua sana na hata hawa miungu wenu wazungu nao tatizo lao ni hilo hilo tuu,hakuna zaidi,nyie mmezoea kudhulumu vitu vya watu na mkipigiwa kelele basi shutuma zinaanza dhidi ya dini ya haki.
Mbali na kutolewa vitisho na mmoja wa walokole humu ndani kuna mwengine ametuwekea link inayomuonyesha ustadh Ilunga(marehemu)anazungumzia kuhusu katiba,nimeona kwamba m/mungu anaipenda sana Tz mpaka aliamua kumchukuwa yule ustadh toka hapa duniani,imekuwa ni bora na salama otherwise mtu kama yule pamoja na siasa zake kali angewezesha vikundi ka vya isis kuchukuwa advantage hiyo na kuja ingiza siasa zao kwetu m/mungu ashukuriwe sana kwa hilo.Haya matusi tunayotukwana ktk vyombo vya habari na mitandaoni ni tosha kabisa kwa mkorofi yeyote kutokea na kuwafunulia jamii yote ya kiislam nchini na kutaweza kutokea civil unrest moja mbaya sana,matusi yenu yamekithiri na ninaamini hivi punde watu watashindwa kuyavumilia kabisa na hapo ndipo harakati za waislam zitakazoanza.Laah mnatutukana sana utafikiria nyie damu yenu na mioyo na akili zenu ni dhahabu,utabiri wangu kutakuja tokea jambo baya sana nchini kwa mwendo wenu huo.Matusi ubaguzi,dhulma,unyanyasaji vimekithiri siku hizi mimi ninashangaa sana,zamani ktk mitandao ka hii tulikuwa hatutukanani kiasi mnavyofanya nyinyi siku hizi.Majirani zetu wamo humu wanatuangalia na kushangaa sana pia wanatucheka kwa jinsi tunavyotukanana matusi ya ajabu ajabu.NYIE KAENI NA DINI YENU NASISI MTUACHIE TUKAE NA DINI YETU PAMOJA NA MAHAKAMA YETU YA KADHI.M/Mpamba.End.
 
Last edited by a moderator:
Div 5? ha ha ha! nina uhakika huna hata nusu ya academic performance yangu. Hili linanihusu kwasababu zaidi ya nusu ya ndugu zangu ni waislam na hiyo ina maanisha kuwa iwapo kama mahakama ya kadhi itakubalika, ndugu hao wako katika janga kubwa sana.

Km wewe una ndugu Muislamu Hebu tueleze hapa km hio mahkama ya Kadhi itapishwa watakuwa vipi ktk JANGA kubwa?
Hilo janga hasa litatoka wapi?
We unaelewa kazi ya mahkama ya Qadhi? Au basi tu umeamua kuandika kilichopo mbele ya akili yako?
Hebu tufadadavulie kidogo hapa.
 
Usimshangae,alichokisema ni kweli,uislam hauruhusu reasoning,muislam akiwa moderate na muelewa wanasema sio muislam halisi,ukiuliza muislam halisi anatakiwa aweje huambiwi. Ina maana muislam halisi ni asiekua muelewa,asiependa majadiliano,mgomvi,mtu wa vurugu nk. Mtu akiwa muislam hana hizo tabia wanamuita muislam fake.

Mahakama ya kadhi ni ndoto za mchana kweupee,haitakaa itokee kamwe Tanzania.

Na siku hio mahkama ikitokea utapinga kuwa nikuletee posa?
Manake wewe kaka papuchi huwa unaandika vitu km mganga wa kienyeji!
We umekuwa nani mpaka uandike future ya nchi hii!
Kubali kuolewa na mimi km hio mahkama itapita la sivyo ukae kimya.
Na km haitopita nakuruhusu umuoe Remote km zawadi yako.
Au we unasemaje?
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo inamaana mm nitoe kodi yangu ilihali haihusiki na mahakama ya kadhi?

inawezekanaje serikali mkaiweka kwenye dini ilihali yenyewe haina dini?

kwani hamuwezi kuunda jumuiya zenu ndogondogo na mkafungua mahakama yenu mpaka muishirikishe serikali mbona sisi hatujaishirika serikali kwenye jumuiya zetu ammbazo tunazo?

hebu tumieni busara na hekima kama mfalme suleimani alivyokuwa na hekima sio kukurupuka na kuiga nchi zingine?

waoneni wenzenu wakenya sasa wanavyotaabika kwa kuhurusu kuwepo kwenye katiba kitu kama hicho kwanza mnawanyima wanawake wenzetu haki ya kuamua na kuishi wapendavyo kwa kuhuruhu kuwepo kwa mahakama ya kadhi

Wewe changu hebu tutajie hayo matatizo ya hao wanawake wa Kenya Wanayopata kutokana na Hio Mahkama ya Kadhi Ili na sisi tupate kujifunza hapa.
Manake wanawake waropokaji km nyie maisha yenu yote mnakuwa hamna waume. Na ikitokea jamaa kaingia mkenge kukuoa basi ndoa yako wiki haimalizi unapigwa chini.

Weka huo Ushahidi hapa wa hizo Shida za hao kina mama wa Kenya na km huna Nenda kaoge Janaba unatuchafulia mazingira hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom