Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Unafikiri ulipokunywa uchafu wakati wa kuzaliwa ungebaki salama?
Sawa bana ...inshaaalahhView attachment 183302
Unafikiri ulipokunywa uchafu wakati wa kuzaliwa ungebaki salama?
Kwan hii nyama ya nn
Sawa bana ...inshaaalahhView attachment 183302
hizo jumuiya kama zitakuwa hazitambuliwi kisheria zitakuwa hazina maana.huwezi kuunda jumuiya inayo towa taraka kwa waislam pindi wakiachana kisha ukienda mahakamani unaambiwa taraka hiyo batili.
mahakama ya kadhi haiwahusu nyinyi wakristo,tunahusika sisi waislam.
Sheria ya mirathi kwa waislamu mtoto wa asie zaliwa ndani ya ndoa haruhusiwi kurisi mali ya marehem.je mahakama za serikali inalitambuwa hilo?
Wakristo kwanini mnapinga mahakama ya kadhi wakati haiwahusu?tukisema mna husda nyinyi wakristo mtabisha?
Kabla haijachinjwa kwa taratibu zote za kidini huwa iko hiviView attachment 183303
Kitu fillet hicho rosti na ndizi 4 ijumaa baada ya swalaa taratibuuuuuu...
Wewe nani kakwambia mwanamke hapat urith. Ha ha ha yaan nyinyi mpo kuukandamiza uislamu bas siku zote mnaakaa mnaongopeana mnaleta mada .kwa taarifa yenu uislam umempendelea mwanamke kupita kitu chochote na endapo wanawake wa kiislam tungekuwa tunaish kama uislam unavyotaka naapa kwa mola Wangu nyinyi wakristo mngeandamana
Mamaaaaa angu mungu akupe daraja la juuu
hizo jumuiya kama zitakuwa hazitambuliwi kisheria zitakuwa hazina maana.huwezi kuunda jumuiya inayo towa taraka kwa waislam pindi wakiachana kisha ukienda mahakamani unaambiwa taraka hiyo batili.
mahakama ya kadhi haiwahusu nyinyi wakristo,tunahusika sisi waislam.
Sheria ya mirathi kwa waislamu mtoto wa asie zaliwa ndani ya ndoa haruhusiwi kurisi mali ya marehem.je mahakama za serikali inalitambuwa hilo?
Wakristo kwanini mnapinga mahakama ya kadhi wakati haiwahusu?tukisema mna husda nyinyi wakristo mtabisha?
Na wanampango wa ku edit quran ili waoe wake 8.
Nyambafuuuuu
hahahaha unanifurahisha sana kwa maneno yako ya Pumba Mahakama ya kadhi na Boko haramu ni vitu 2 tofauti. kwanza nenda shule ukasome ni nini Maana ya neno (Mahakama) na ni nini Maana ya neno (Boko Haram) kisha uje hapa ulete ubishi wako wa kichwa mchungwa .Someni au kama hujuwi kusoma uliza utajibiwa ni nini Maana ya Mahakama Ya Kadhi? usilete Ubishi wako wa kilokole.Okkk, hatutaki kuisikia mahakama ya kadhi hpa tanzania au bungeni, iwe yenu ianzisheni ninyi mnataka kutuletea boko haramu hapa tz. Ishieni huko huko
Bora kaka na wewe uwaelimishehahahaha unanifurahisha sana kwa maneno yako ya Pumba Mahakama ya kadhi na Boko haramu ni vitu 2 tofauti. kwanza nenda shule ukasome ni nini Maana ya neno (Mahakama) na ni nini Maana ya neno (Boko Haram) kisha uje hapa ulete ubishi wako wa kichwa mchungwa .Someni au kama hujuwi kusoma uliza utajibiwa ni nini Maana ya Mahakama Ya Kadhi? usilete Ubishi wako wa kilokole.
Watu wanavyosikia Neno Mahakama ya Kadhi wanogopa utafikiri Hapo Tanzania kutakuwa na Sheriaza Dini ya Kiislam? waacheni Waislam wawe nao na Mahakama yao ya Kadhi. Mahakama yaBora kaka na wewe uwaelimishe
Watu wanavyosikia Neno Mahakama ya Kadhi wanogopa utafikiri Hapo Tanzania kutakuwa na Sheriaza Dini ya Kiislam? waacheni Waislam wawe nao na Mahakama yao ya Kadhi. Mahakama ya
Kadhi itakacho shughulikia ni Masuala migogoro ya ndoa za Kiislam mambo ya talaka na mambo ya Urithi ndio wanachotaka hao waislam wawe na Mahakama yao ya Kadhi masuala mengine Serikali inazo Mahakama zake Mahakama ya Kadhi haitaingilia Mambo ambayo
haiwahusu zaidi ya hayo niliyoyasema tu. waacheni waislam wawe na Mahakama yao jamani Mambo ya Ngoswe Muachieni ngoswe mwenyewe. Hakutakuwa Tanzania na mambo ya Boko Haramu wala vikundi vingine vya kigaidi nchini kwetu Tanzania ni nchi yenye amani
na amani tutaidumisha mpaka mwisho wa dunia. Ingawa tunao maaduwi hawatupendi tuwe na amani tuta Deal nao ipisavyo asante sana. Mwenyeezi Mungu Ibariki Tanzania na Afrika yote kwa ujumla ameen.