Ushauri wa bure kwa Waislam

Ushauri wa bure kwa Waislam

Status
Not open for further replies.
Wewe kama sio uislam ungebaki hukoo kijijini unalala na ngombe.
Jiangalie na mababu zako tuliwapokea na hatukuwa chinja...mlipokuwa na njaa na babu zako mlipolima vijijini na chakula hakizai ni muislam alo kufanya leo uwe na simu ya ku chat hapo babu yenu akisema ni anasa...ujinga mtupu..

duh sijaelewa kumbe muislam ndo alifanya tupate mahindi na simu za kuchati kumbe kaleta yeye uslam oyee
 
Kuna kitu kimoja wengi wetu hatukijui kwamba mkristo hawezi kumshauri kitu muislam na muislam akakubali na muislam vile vile hawezi kumshauri kitu mkristo na mkristo akakubali lambda hilo lifanyike nje ya dini na bila kutumia jina la dini yeyote

Mimi ninavyodhana mambo ya din tunafanya kama ubishan wa simba na yanga. Mf hili la waislam haliwahusu kabisa wakristo lakin wanalishadadia hata ukiwaeleza pia wanajifanya hawaelew lakin ukiliangalia kwa makin vyombo vya habar vinapotosha ikisaidiana na bakwata kiufup sisi wabaya wetu si wakristo ni serikali ila kwa sababu wakristo wanajiingiza ndio hivyo, nawahakikishien waislam hswashindwi kuiendesha mahakama ya kadh ila kwa shart isiwe chin ya bakwata na wanaotaka serikali isimamie hizo mahakama ni bakwata coz tuisuasa hiyo taasisi ya serikali ,nadhan nimeelewaka
 
Sina hakika kama ninatumia muda wangu vizuri kukujibu kwa sababu nina wasiwasi na halmashauri yako kama ina akidi sahihi.

Ng'ombe gani kwanza unaosema? Hivi kumbe ni kweli shetani anapofusha. Ni sehemu gani iliyokaliwa na uislam yenye maendeleo? Ujiji, Kigoma, Tabora, pangani, rufjiji, wapi? Kwa nini kama uislam ni maendeleo kila walikokaa waarabu na uislam ukakolea ndiyo maeneo yanayoongoza kwa ufukara?

Sehemu zote walizokaa Wa Missionary wa Kikristo ndizo zenye maendeleo na ustaarabu.

Uliwapokea wapi babu zangu wewe?

Lakini si ajabu sababu dunia yote inawafahamu kwa uwongo na ubishi. Na hii gana yote inaungana na machukizo makuu mnayoyafanya duniani bila haya kwa jina la dini kwa kuwa dini yenu haina dhambi. Kuua, kuongopa, kusingizia, kutukana, kubaka, kuiba, vyote kwenu ni halali. Sishangai hat hapa ukisema eti uislam ulileta mendeleo. Mwehu kweli kweli.


Wewe kama sio uislam ungebaki hukoo kijijrini unalala na ngombe.
Jiangalie na mababu zako tuliwapokea na hatukuwa chinja...mlipokuwa na njaa na babu zako mlipolima vijijini na chakula hakizai ni muislam alo kufanya leo uwe na simu ya ku chat hapo babu yenu akisema ni anasa...ujinga mtupu..
 
Mkuu labda hujaelewa inabidi wewe ndio ufahamishwe. khakuna kitu Jumuiya zao ila sheria na waislaam wanafanya hivyo isipokuwa hukumu zao hazitambuliwi na serikali ya Jamhuri kutokana na kwamba mshtaki anaweza kwenda serikali na akaweka madai yake kinyume cha sheria za dini na zikapokelewa.

Hivyo wao wanasema, ili wao wafanye ibada zao kwa ufanisi wanataka serikali itambue haki hiyo na wasiingilie kabisa jambo ambalo haliwezekani kwa sababu serikali inawatambua Bakwata chama walichokianzisha wao wenyewe kusimamia mambo ya Waislaam. Na hiyo Bakwata imejaa mafisadi ambao kwao fedha kwanza hivyo hakuna ibada inayofanyika. Kwa nini serikali inakataa kuwaacha huru ama kutambua ibada zao? Licha ya hivyo hujiulizi mwenyewe kwa nini wewe usokuwa Muislaam unaingilia swala lao, ombi lao ambalo halikupunguzii usingizi hata kidogo. Je wao wakishauri ibada za kikristu utawaelewa!.

Unaowasemea kwa kuwaita wao ni akina nani? Wa TZ au hapana?

Naomba nikwambie wazi kwamba mawazo kama haya yakidekezwa tutakuwa tunarudi walikoanzia watu wa Ulaya. Mambo ya kuchanganya serikali na kanisa. Sasa hapa tunataka kuchanganya serikali na uislamu na kanisa. Hii itakuwa siyo nchi.

Kuna mambo mengi ambayo yanastahili kukataliwa kabisa! sitapenda kuabiwa kwamba ktk sheria za uislamu eti ni mambo ya ndoa tu ndo nataka yaamuliwe kwa kutumia mahakama nyengine! kumbuka nchi hii msajili wa ndoa na vifo ni mmoja tu. Serikali gani yenye upuu kiasi hicho cha kuruhusu mchanganiko wa sheria kiasi hicho. Baadaye ukisikia katoliki wakikataa mitaala ya biolojia ya evolution, utasemaje? Sipendi kufurahisha kundi lolote, kwa ujumla madai ya mahakama ya kadhi ni upuuzi usiostahili hata jadiliwa hapa. Ukiona mtu anahangaika na hili, muulize elimu yake ikoje.

Wote hawa wanaoshabikia wanastahili tuwaburuze tu ili tufike tutakako maana hawataelewa na hatuna faida na mawazo yao. Anayetaka mbingu, hiyo ni kazi yake, siyo serikali!
 
Huo ndo upuuzi wa karne ya zamani kutaka utumike hadi leo. Huyo mtoto wa nje ya ndoa yukoje ktk dunia hii ya sasa? Yaani kwa upuuzi wa huyo anayeitwa marehemu,mndi iwe sababu ya yeye kukosa haki ya babanyake?

Utakuwa mtoto wa mchepuko mbona povu linakutoka yakhe?
 
Utakuwa mtoto wa mchepuko mbona povu linakutoka yakhe?

Kuwa na adabu we mtoto wa zinaa!

Unapewa maneno ya hekma we unaleta Nyodo.

We siku ukija mjua babako labda utakuwa na nidhamu.

Sasa huyo mdau kipi alichoandika kilichokusababisha uandike huo uharo hapo juu.!
Mfnssssssssssss. Nyambafff.
 
Kuwa na adabu we mtoto wa zinaa!

Unapewa maneno ya hekma we unaleta Nyodo.

We siku ukija mjua babako labda utakuwa na nidhamu.

Sasa huyo mdau kipi alichoandika kilichokusababisha uandike huo uharo hapo juu.!
Mfnssssssssssss. Nyambafff.

View attachment 183287

Allah wakibaruuuuu
 
Sisi waislamu tumesha wekewa taratibu za kugawa mali ktk urithi sasa sijui hiyo mahakama unayosema inautaratibu mzuri wa kugawa mali, inatumia utaratibu gani. Kwani hata hiyo mirathi sisi kwetu ni ibada.
 
umejitahd kuandika gazet but jifunze unajuwa mahakama ya kadh inatakiwa itambulike kitaifa na kimataifa koz ndio inakuwa chombo kikuu cha waisalam sawa na kkkt na Vatican na hio mahakama ya kawaida koz ktk uislam Allah peke yake ndo hakimu so guidelines zpo ktk Quran.... great thinker think great 😂😈

Mwongo kabisaaaa;maka je? Wewe acha kutuongopea sisi wakristu, sisi sio vilaza km ninyi tunaaakili, mlikoamkia sisi tumeamka siku nyingi mnooo.
 
Wewe unaye towa Ushauri kuwapa Waislam wewe ni kama nani kwa Waislam? Na Mambo ya Waislam waachie wenyewe Waislam wewe hata haikuhusu kutoa Ushauri wako wa Pumba samahani kama nimekukwaza. Kwa Mfano mimi niwape Ushauri Wakristo ili iweje? Mimi ni kama nani kwa hao Wafuasi wa Dini Ya Kikristo? Jiulize swali kabla ya kuandika kitu kwenye KeyBoard yako usipende kutaka upate Umaarufu juu ya migongo ya watu wengine. Mambo yanayo wahusu Waislam waachie wenyewe Waislam watayamaliza wenyewe wewe haikuhusu kabisa.

Okkk, hatutaki kuisikia mahakama ya kadhi hpa tanzania au bungeni, iwe yenu ianzisheni ninyi mnataka kutuletea boko haramu hapa tz. Ishieni huko huko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom