Ushauri wa aina ya mwili wangu.

Ushauri wa aina ya mwili wangu.

images (8).jpeg
 
Kimbia angalau 5-7km kwa Siku.
Unakimbia kawaida dakika 2-5 unatembea haraka dakika 1. Hivyohivyo.

Zoezi la kusimama huku unanyanyua mguu huu na mguu huu. Piga 100 per day.

Piga zoezi la balance la kusimama kwa mguu mmoja dakika 1-2 alafu na mwinginw hivyohivyo

Piga zoezi la kuruka kamba.
Mkuu nashukuru nitazingatia
 
Mimi ni mrefu almost 6.4 ft.
Miaka 27 Nina kilo 89.

Kuanzia kichwani mpaka kiunoni ni mwembamba wa kawaida
Ila kuanzia kiunoni mpaka kwenye mapaja ni mnene kabisa tusema Nina asili ya shape na hips nahisi ni genetics nime inherit,

Je ni aina Gani ya mazoezi au life style naweza kuishi au kufanya ili niweke kuwa bora na stable.

Kifupi ni kupunguza mapaja na makalio.

Ahsante karibu sana kwa ushauri.
Asee unajiuza
 
Mimi ni mrefu almost 6.4 ft.
Miaka 27 Nina kilo 89.

Kuanzia kichwani mpaka kiunoni ni mwembamba wa kawaida
Ila kuanzia kiunoni mpaka kwenye mapaja ni mnene kabisa tusema Nina asili ya shape na hips nahisi ni genetics nime inherit,

Je ni aina Gani ya mazoezi au life style naweza kuishi au kufanya ili niweke kuwa bora na stable.

Kifupi ni kupunguza mapaja na makalio.

Ahsante karibu sana kwa ushauri.
ingia gym
 
Sawa mkuu nitazingatia pia

Sio tatizo kama hiyo ndio picha yako.

Uko vizuri mbona. Acha kujikosoa.

Kama hiyo picha ni wewe. Fanya mazoezi kwa afya sio kwaajili ya kubadili mwonekano wa mapaja, hipsi . Kwa sababu hakuna tatizo.

Na hata kungekuwa na tatizo bado ungetakiwa kujipenda ulivyo.
 
Sio tatizo kama hiyo ndio picha yako.

Uko vizuri mbona. Acha kujikosoa.

Kama hiyo picha ni wewe. Fanya mazoezi kwa afya sio kwaajili ya kubadili mwonekano wa mapaja, hipsi . Kwa sababu hakuna tatizo.

Na hata kungekuwa na tatizo bado ungetakiwa kujipenda ulivyo.
Ubarikiwe sana Mtibeli
 
Back
Top Bottom