Ushauri wa aina ya mwili wangu.

Ushauri wa aina ya mwili wangu.

Upo normal but ukitaka mazoezi ongeza kwa juu kuleta balance.

So far upo vizuri and if you have someone in your life anaekupenda kweli the way ulivyo. Care less about other people's opinions
We jamaa Huwa una mawazo mazuri sana. Always umenyooka kama ruler. Barikiwa sana
 
Mimi ni mrefu almost 6.4 ft.
Miaka 27 Nina kilo 89.

Kuanzia kichwani mpaka kiunoni ni mwembamba wa kawaida
Ila kuanzia kiunoni mpaka kwenye mapaja ni mnene kabisa tusema Nina asili ya shape na hips nahisi ni genetics nime inherit,

Je ni aina Gani ya mazoezi au life style naweza kuishi au kufanya ili niweke kuwa bora na stable.

Kifupi ni kupunguza mapaja na makalio.

Ahsante karibu sana kwa ushauri.
Sijakupatia picha wakati unatembea
 
Jogging, jumping jacks zitakusaidia pia limit intake kubwa ya vyakula vya sukari, mafuta na a lot of carbohydrates, prefer zaidi vegetable and stuff like that
 
Back
Top Bottom