Ushauri wa aina ya mwili wangu.

Ushauri wa aina ya mwili wangu.

Sawa mkuu nitazingatia pia
Mkuu mbona upo kawaida tu.

Mazoezi unayotakiwa kufanya kama hujaridhika na mwili wako ni ya kukaza nyama hizo....

Kaza mwili wa juu (pushup au gym)
Kaza mwili wa chini....

Kukimbia ni kama unataka kupunguza mwili wote upunguze uzito na utapunguza mpaka sura....

Fanya mazoezi ya gym nyanyua chuma kawaida tu nyama zitakaza....
 
Mkuu ushaukimbia uzi wako wa mshahara ushapoa tayar😀
Pesa iliingia jana usku kaka, nikaanza kuisurubu usiku huo huo.

Asubuhi nikaenda sokoni kununua mazaga hapa fresh. Pesa ikiingia siwezi kutulia
 
Upo sawa tu , penda kufanya mazoezi na mda mwingine chapa kazi za nguvu za kiume , hiyo michuzi inakata fasta bwashee , hauna tatizo kubwa kama nilivyodhani🤔
Pia azingatie aina ya mavazi. Sio kila vazi linamfaa mtu. Aache kuvaa vimodo nguo za kubana bana apige bwanga kiaina... Atajikubali tu...
 
Ukichagua wanawake wenye makalio makubwa lazima watoto hata wa kiume wayaokote bwashee, kwa namna moja ama nyingine hata jamii zenye vigoda kuna namba za wanaume wameyakwaa bwashee 😅
Kabila lenu most girls wana shape #9 wakiume mzipatie wapi (joking) 😁

The guy ni mnyamwezi so it's normal
 
Kabila lenu most girls wana shape #9 wakiume mzipatie wapi (joking) 😁

The guy ni mnyamwezi so it's normal
Yeah hii kitu inarithiwa , mbaya zaidi mpaka watoto wa kiume wanarithi , kuna baba mmoja anamikalio, na binti zake wote wamerithi ila mamayao kanyooka kama rula
 
What did you do kupata body yako.
Kwani ni effort yako au nature imeruhusu ?

Sio vizuri min -me i know kwako ni easy cause you don't even know hizo struggles zinaumizaje. But be kind
Sawa , ila nimeona yupo kawaida tu, sema apige tizi hasa kukimbia michuzi itapungua
 
Hahahaaa kwahiyo mkuu una Makebo mnesoneso umbo namba nane!!

Omba Mungu wachina waharakishe kujenga viwanda Tz. U never know pengine wanaweza wakaja na utaalam wa kubadilishana mashepu mbadilishane na mrembo wetu ShesRise_1
Nani tena anataka kunipa makebo yake kama nyongeza🤔
 
Mimi ni mrefu almost 6.4 ft.
Miaka 27 Nina kilo 89.

Kuanzia kichwani mpaka kiunoni ni mwembamba wa kawaida
Ila kuanzia kiunoni mpaka kwenye mapaja ni mnene kabisa tusema Nina asili ya shape na hips nahisi ni genetics nime inherit,

Je ni aina Gani ya mazoezi au life style naweza kuishi au kufanya ili niweke kuwa bora na stable.

Kifupi ni kupunguza mapaja na makalio.

Ahsante karibu sana kwa ushauri.
Hips = Nyonga
Shape = Umbo
 
Mambo ya kurithi ni ngumu kuyaondoa, hapo kama ni kupunguza ni kidogo Tu, Piga mazoezi. Sema kuwa makini yako baadhi ya mazoezi yanaongeza Kalio..
 
Yeah hii kitu inarithiwa , mbaya zaidi mpaka watoto wa kiume wanarithi , kuna baba mmoja anamikalio, na binti zake wote wamerithi ila mamayao kanyooka kama rula
Hahaaaaa show me what your baba gave you

DNA hailaumiwi
 
Accept yourself first

Wewe ni mwanaume 100%

No matter how people see or perceive you

It's Okay kwenda gym but that won't remove your insecurities. Deal with your mental and emotional state first
hujambo confession?
 
Back
Top Bottom