Ushauri wa aina ya mwili wangu.

Ushauri wa aina ya mwili wangu.

Mimi ni mrefu almost 6.4 ft.
Miaka 27 Nina kilo 89.

Kuanzia kichwani mpaka kiunoni ni mwembamba wa kawaida
Ila kuanzia kiunoni mpaka kwenye mapaja ni mnene kabisa tusema Nina asili ya shape na hips nahisi ni genetics nime inherit,

Je ni aina Gani ya mazoezi au life style naweza kuishi au kufanya ili niweke kuwa bora na stable.

Kifupi ni kupunguza mapaja na makalio.

Ahsante karibu sana kwa ushauri.
Wewe ni ME au KE?
 
Yaani wewe ni mwanaume halafu una tako kama la mke wangu? Basi kazi unayo! Hebu weka picha yako tuone!
 
Back
Top Bottom