Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,154
Tangu awamu ya 4 ya Mh. Kikwete polisi Tanzania wana stress sana . Sababu kubwa ni kuachwa gape kubwa la kimaslahi na askari na maofisa wa JWTZ. Posho na mishahara ya hawa watumishi ziko mbalimbali.
Kwakuwa jeshi ni utii polisi wetu wamekuwa watii kwa serikali lakini hasira zao zinaishia kwa wananchi.
Na hiki kikokotoo kimewagaragaza mapolisi na kuwaacha wanajeshi.
Wanasema inamaana kama kikokotoo ni kizuri kwanini hayo mema wasipelekewe pia maaskari na maofisa wa jwtz?
Ukiwa chini ya ulinzi wa polisi nakuomba acha ujuaji, utakufa.
Mimi sio polisi wala sina ndugu wa damu ambaye ni afisa au askari wa jeshi la polisi. Nawapa tu ushauri.
Kwakuwa jeshi ni utii polisi wetu wamekuwa watii kwa serikali lakini hasira zao zinaishia kwa wananchi.
Na hiki kikokotoo kimewagaragaza mapolisi na kuwaacha wanajeshi.
Wanasema inamaana kama kikokotoo ni kizuri kwanini hayo mema wasipelekewe pia maaskari na maofisa wa jwtz?
Ukiwa chini ya ulinzi wa polisi nakuomba acha ujuaji, utakufa.
Mimi sio polisi wala sina ndugu wa damu ambaye ni afisa au askari wa jeshi la polisi. Nawapa tu ushauri.