Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,718
- 12,373
Wakikuua nao watakufa.
Hakuna atakaye ishi milele chini ya jua.
Hakuna atakaye ishi milele chini ya jua.
Sawa Afande
Kweli mkuu kikokotoo kwao ni Janga kubwa sana, yani utakuta kamanda wa polis wa mkoa ana lipwa kiinua mgongo shilingi million 20 wakati mwenzake wa Jwtz ana lipwa million 180.Tangu awamu ya 4 ya Mh. Kikwete polisi Tanzania wana stress sana . Sababu kubwa ni kuachwa gape kubwa la kimaslahi na askari na maofisa wa JWTZ. Posho na mishahara ya hawa watumishi ziko mbalimbali.
Kwakuwa jeshi ni utii polisi wetu wamekuwa watii kwa serikali lakini hasira zao zinaishia kwa wananchi.
Na hiki kikokotoo kimewagaragaza mapolisi na kuwaacha wanajeshi.
Wanasema inamaana kama kikokotoo ni kizuri kwanini hayo mema wasipelekewe pia maaskari na maofisa wa jwtz?
Ukiwa chini ya ulinzi wa polisi nakuomba acha ujuaji, utakufa.
Mimi sio polisi wala sina ndugu wa damu ambaye ni afisa au askari wa jeshi la polisi. Nawapa tu ushauri.
Wape tu maisha yasongeHata wakituomba rushwa tukubali?😊😊
NakaziaUsishindane na serikali, tii sheria bila shuruti na kuwa mpole, ligi na polisi utaishia pabaya, nimekuonya
WafaransaMoral of the story ni divide and rule.
Hii njia walitumiaga wakina nani Wafaransa au Wabelgiji? Wazee wa history nikumbusheni tafadhali
Hata hivyo ni busara kuheshimu kazi za wengine haijalishi ni Polisi au shoe shiner.Tangu awamu ya 4 ya Mh. Kikwete polisi Tanzania wana stress sana . Sababu kubwa ni kuachwa gape kubwa la kimaslahi na askari na maofisa wa JWTZ. Posho na mishahara ya hawa watumishi ziko mbalimbali.
Kwakuwa jeshi ni utii polisi wetu wamekuwa watii kwa serikali lakini hasira zao zinaishia kwa wananchi.
Na hiki kikokotoo kimewagaragaza mapolisi na kuwaacha wanajeshi.
Wanasema inamaana kama kikokotoo ni kizuri kwanini hayo mema wasipelekewe pia maaskari na maofisa wa jwtz?
Ukiwa chini ya ulinzi wa polisi nakuomba acha ujuaji, utakufa.
Mimi sio polisi wala sina ndugu wa damu ambaye ni afisa au askari wa jeshi la polisi. Nawapa tu ushauri.
Divide and rule walikuwa ni Waingereza,,,Wafaransa wao ilikuwa assimilation policy.....kutengeneza watawaliwa na wao kujiona ni Wafaransa...Moral of the story ni divide and rule.
Hii njia walitumiaga wakina nani Wafaransa au Wabelgiji? Wazee wa history nikumbusheni tafadhali
Jeshi (JWTZ) na Polisi ni vitu viwili tofauti kabisaa.....Ni Wizara mbili tofauti kabisa ...Tangu awamu ya 4 ya Mh. Kikwete polisi Tanzania wana stress sana . Sababu kubwa ni kuachwa gape kubwa la kimaslahi na askari na maofisa wa JWTZ. Posho na mishahara ya hawa watumishi ziko mbalimbali.
This is stupid ....Utiii, utiii, utiii.
Nyenyekea, nyenyekea, nyenyekea
Waite ofisa, ofisa, ofisa
Waite mkuu, mkuu, mkuu.
Kama wanaotaka Hela wape.
Ukiketa ujuaji mikononi mwa polisi unauliwa au kubadilishiwa kesi au kupigwa sana.
Haya mawazo Yao wengine tunayatumia Kwa faida, sasa nyinyi endeleeni kuwaangalia Kwa negative way tu.Yaani wakiwa kazini wanawaza pesa tu. Mengine ni ziada
Bila rushwa mambo hayaendi, unaona ubalozini Wabongo Viza zinawasumbuwa wazungu hawachukuwi rushwa.Hata wakituomba rushwa tukubali?😊😊