Denda hatuachi chali yangu wacha tukohoe tu si msimu utapita ?But still pipo wanakulana denda.
Sijajua kama tatizo ni uchavuzi wa hali ya hewa Dar au ni nini lakini watu wa Idara ya afya inabidi waangalie hiki kitu tusijekuwa wahanga wa sumu bila kujitambua. .
kweli inafaa kucheck tb.Isije ikawa ni TB nyie mnasema kikohozi kikavu.Na huo msongamano kila mahali ni balaa.
mdogo wangu
<br />Ni yule mwenye fungus na UTI?
<br />According to Dr. Ndodi<br />
Saga kitunguu saumu na paka kwenye nyayo za<br />
tatizo litakwisha.
<br />angalia na mzio pia. mafuta, vumbi, marashi, et