Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
asante sana umenikumbusha Mama Terry
kweli hivy huyu mama yuko wapi?
asante sana umenikumbusha Mama Terry
Si nasikia ukimuambukiza mtu unapona...! Ah ah ah ah (joking).Nina flu mbaya leo, hii thread imekuja wakati muafaka. Thank you brother.
Pole sana mkuu wangu.Dawa hizo zinasaidia sana na asante sana mkuu .
Mie ndio nimetoka kuumwa mafua na nimetumia chai,limau na asali kwa pamoja na imesaidia sana kuliko hata dawa hizi za kisasa.