nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
Hiyo hali inakutokea muda wote ama inategemea na mazingira fulani?
Naomba munisaidie kupata dawa ya mafua mana nasumbuliwa kalibu mwaka mwaka wa 8 sasa na huwa napiga chafya sana na pua huwa inawasha sana.
Post yako imenishtua' nikajua ni dalili ya awali ya Ebora!! Maana mimi ni muhanga wa hako kahoma' na bado sijapona vizuri!
Wakuu.,kwa siku hizi za usoni nimegundua kuwa hapa DSM watu wengi wamekuwa wakikohoa kikogozi kikali sana.
Mtu mwingine aloona tatizo hili anaweza kutoa ushuhuda.
Watu wanaohusika na masuala ya afya watupe ushauri kujikinga.
Post yako imenishtua' nikajua ni dalili ya awali ya Ebora!! Maana mimi ni muhanga wa hako kahoma' na bado sijapona vizuri!
Ni kweli mkuu kuna kifua kikali hata mamito wangu kilimtesa almost 3 months mpaka tuka check TB lakini tukajagundua ni alergy, tulitumia dawa ya vidonge kwa siku 10 now she is ok.Wakuu.,kwa siku hizi za usoni nimegundua kuwa hapa DSM watu wengi wamekuwa wakikohoa kikogozi kikali sana.
Mtu mwingine aloona tatizo hili anaweza kutoa ushuhuda.
Watu wanaohusika na masuala ya afya watupe ushauri kujikinga.
Wakuu.,kwa siku hizi za usoni nimegundua kuwa hapa DSM watu wengi wamekuwa wakikohoa kikogozi kikali sana.
Mtu mwingine aloona tatizo hili anaweza kutoa ushuhuda.
Watu wanaohusika na masuala ya afya watupe ushauri kujikinga.
Dawa gani mlitumia mm pia ni mhangaNi kweli mkuu kuna kifua kikali hata mamito wangu kilimtesa almost 3 months mpaka tuka check TB lakini tukajagundua ni alergy, tulitumia dawa ya vidonge kwa siku 10 now she is ok.