Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

sijajua kwa huyo mtoto,ila kwa nyie watu wazima jaribuni kuacha kutumia vitu vya manukato mfn pafyumu,mafuta au air frsh.
 
sijajua kwa huyo mtoto,ila kwa nyie watu wazima jaribuni kuacha kutumia vitu vya manukato mfn pafyumu,mafuta au air frsh.

Ni bint 17yrs...si wajua lazima anatumia manukato ni mdada..ila namwambia kuwa atumie deodorant ya Aloe ya Forever - Shield angalau haina harufu kali
 
Yani hata mimi hapa sina raha mafua huwa hayaishi chafya kila mara mpaka kichwa kinauma,pua ina washa
hata mimi nina hilo tatizo yani mafua huwa hayaniishi pia chafya nyingi.wataalamu mtusaidie
 
Mkuu MziziMkavu, hiyo tiba ni kwamba zote kwa pamoja, yaani tembe ya kitunguu swaumu, juice yake with lemon water na mvuke or moja wapo? Na ni kwa muda gani?
 
Last edited by a moderator:
Dawa zote tatu kwa pamoja or naweza nikafanya moja moja?
Unaweza kutumia moja kwanza siku 3 kisha ukaangalia kama bado hujapona unaongeza dawa ya pili na ile ya kwanza kwa muda wa siku 3 ikiwa bado hujapona malizia dawa ya mwisho kwa pamoja siku 3 sio mbaya ila kwa mwanamke mwenye mimba asitumie dawa yangu au mwanamke mwenye kunyonyesha asitumie dawa yangu mpaka nimpe ushauri wangu.
 
Unaweza kutumia moja kwanza siku 3 kisha ukaangalia kama bado hujapona unaongeza dawa ya pili na ile ya kwanza kwa muda wa siku 3 ikiwa bado hujapona malizia dawa ya mwisho kwa pamoja siku 3 sio mbaya ila kwa mwanamke mwenye mimba asitumie dawa yangu au mwanamke mwenye kunyonyesha asitumie dawa yangu mpaka nimpe ushauri wangu.

Asante sana mkuu.
 
Naomba munisaidie kupata dawa ya mafua mana nasumbuliwa kalibu mwaka mwaka wa 8 sasa na huwa napiga chafya sana na pua huwa inawasha sana.
 
Jaribu mafuta ya samaki kwenye uji kila siku au tumia calcium ya forever living; huo ni upungufu wa vitamin
 
Naomba munisaidie kupata dawa ya mafua mana nasumbuliwa kalibu mwaka mwaka wa 8 sasa na huwa napiga chafya sana na pua huwa inawasha sana.

Hiyo inaonesha kuwa ni mafua ya allergy, kafanye allergy profile.
 
Back
Top Bottom