Alegi hiyo inaambatana na kuvimba tundu za pua? "Ukikutana na kinacho-react unapiga chafya kadhaa na ukiangalia tundu za pua zinavimba na hapo hapo mafua yanaanza" kama ndivyo kuna mtaalamu mmoja alieleza kuwa dawa yake ni kutumia vitunguu swaumu punje 3 kutwa mara tatu, Mbegu za mlonge 3x3, na majani yake yakiwa fresh utengeneze juice na unywe kama 20cc mara mbili kwa siku. Dozi hii utadumu nayo hata kwa mwezi mzima na kama itakuwa bado utaendelea mpaka utakaporidhika na maendeleo ya aleji yako. Vitu hivyo ni chakula pia.
Epuka barid unaishi mkoa upi tumia hasari nyuki wadogo pole sana mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
tumia hasari
hata mimi nina hilo tatizo yani mafua huwa hayaniishi pia chafya nyingi.wataalamu mtusaidie
hlo kumbe tatzo la weng nkiwemo na mm..nateseka kwa muda sasa hata hunisababishia macho kutoa machoz
Pole sana...Mtengenee tangawizi mfano wa chai...ifanye iwe kali kidogo...pia unaweza kukata vipande vidogo vya tangawizi mbichi na akawa anaitafuna kidogo dogo..yaani kama anaifinya tu hivi kwa meno ili yatoke maji...chafya itaisha Insha-Allah
Labda ana allergy ya nyama ya n'gombe.Nilishampeleka..kanywa dawa za kila aina hadi namuonea huruma