Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

Juice ya limao.
Kamua nusu ya limao, weka kwenye lita ya maji.
Kunywa kidogo kidogo (asubuhi mpaka jioni) kwa siku tatu hivi.

Kwa matokeo bora, njia hizi za asili ni vyema kuzianza mapema dalili inapojitokeza. Kama una kikohozi na umeshapata infection, ni vyema kumwona daktari.
 
mkuu saga kitunguu saumu changanya na juice ya limau kunywa.tahadhari ukiwa na mimba au unanyonyesha usitumie dawa hii.Alafu bomba za dawasco hazitoi maji kwahiyo mafua yako sio makali.
 
ninavojua mimi moja kati ya dalili kua mwili haupo vizuri kujtengenezea kinga zake ni "mafua mepesi ya mara kwa mara na yanayodumu muda mrefu" jitahidi kula vyakula vya asili, kunywa maji mengi bila kusahau machungwa kwa wingi. kinga za mwili wako zimeshuka
N:B simaanishi kua una UKIMWI.
 
ninavojua mimi moja kati ya dalili kua mwili haupo vizuri kujtengenezea kinga zake ni "mafua mepesi ya mara kwa mara na yanayodumu muda mrefu" jitahidi kula vyakula vya asili, kunywa maji mengi bila kusahau machungwa kwa wingi. kinga za mwili wako zimeshuka
N:B simaanishi kua una UKIMWI.

Mkuu nashukuru kwa ushauri wako mzuri.
 
Habari wana JF?
Nina mzee wangu alikuwa anasumbuliwa na ngiri kwa mujibu wa daktari, ikabidi afanyiwe upasuaji, baada ya kupasiliwa madokta wakatwambia kuwa hana ngiri, wakasema wamegundua kuwa chango flan imetokeza hivo wakamfanyia upasuaji wa sehemu tumbo, afya kutoka hapo ikawa afadhali, ila baada ya siku tatu, akaanza kuumwa na tumbo na kuharisha ikadumu km siku nne, baada ya hapo likapowa akaanza kukohoa hadi sasa anaendelea imeshafika miezi miwili na hicho kikohozi tumeashaenda hospital na kutumia dawa lkn bado.
Mgonjwa ni mtu mzima sana yaani anaumri km miaka 64 tunaomba kujuzwa tatizo nini? Na ipi tiba yake ? Au ushauri ktk vipimo
 
Kikohozi mfululizo sio dalili nzuri amewahi kuwa mvutaji sigara kipindi cha nyuma?
Na pia mmecheki TB unajua mtu akiwa na age fulani hata kinga ya mwili inakuwa weak kiasi poleni.
 
Naomba kuuliza wataalamu humu ndani ni kwa nini kikohozi huwa kinambana mtu sana usiku na wala sio asubuhi wala mchana? Nina mtoto wangu ikifika usiku ndio unakisikia lakini mida mingine wala huwezi jua kama ana iyo kitu.
 
Naomba kuuliza wataalamu humu ndani ni kwa nini kikohozi huwa kinambana mtu sana usiku na wala sio asubuhi wala mchana? Nina mtoto wangu ikifika usiku ndio unakisikia lakini mida mingine wala huwezi jua kama ana iyo kitu.

Mkuu mpeleke kwa daktari inawezekana ikawa ni dalili za awali za tatizo la moyo
 
Mengi yamesemwa ila kwa kuongezea pia waweza jifukiza na maji yenye chumvi au kama unaujasiri yadondoshee puani yakiwa uvuguvuguu... pia waweza tumia dozi ya juice ya caroti na tangawizi na epuka kutia sukari. ukiinywa kutwa mara 2 au 3 hama ukishindwa hata walau mara 1 kwa siku.
 
Habari,
Wanajamvi nahitaji msaada kama kuna ukweli wowote juu ya hiyo ishu.
Hivi ni kweli kwamba Ukichanganya chumvi na majivu alafu ukalamba, itakuwezesha kupona kifua kikavu?

Manake huu ni uvumi nimeusikia tu mtaani, hivo nikaona sio vizuri kujaribu jaribu kila dawa...
NAOMBENI MSAADA JAMANI
KWASABABU KIFUA KINANISUMBUA SANA, NAKOHOA hadi kifua kinauma!
 
Wanajamvi nahitaji msaada kama kuna ukweli wowote juu ya hiyo ishu.
Hivi ni kweli kwamba Ukichanganya chumvi na majivu alafu ukalamba, itakuwezesha kupona kifua kikavu?

Manake huu ni uvumi nimeusikia tu mtaani, hivo nikaona sio vizuri kujaribu jaribu kila dawa...
NAOMBENI MSAADA JAMANI
KWASABABU KIFUA KINANISUMBUA SANA, NAKOHOA hadi kifua kinauma!
 
Habari,
Wanajamvi nahitaji msaada kama kuna ukweli wowote juu ya hiyo ishu.
Hivi ni kweli kwamba Ukichanganya chumvi na majivu alafu ukalamba, itakuwezesha kupona kifua kikavu?

Manake huu ni uvumi nimeusikia tu mtaani, hivo nikaona sio vizuri kujaribu jaribu kila dawa...
NAOMBENI MSAADA JAMANI
KWASABABU KIFUA KINANISUMBUA SANA, NAKOHOA hadi kifua kinauma!

Wewe jaribu ili ikipona ujue kuwa ni kweli au si kweli. Usisahau kutujuza kama ni kweli.
 
Back
Top Bottom