Labda una aleji, mimi nikila nyama ya n'gombe kesho yake nikiamka pua zimeziba mafua. Jaribu kuchunguza una aleji ya kitu gani.
MziziMkavu km tunaweza pata chochote basi tafadhali
Kula kabla ya kupiga mswaki itakuwa vizuri zaidi ukisha maliza kula kitunguu Saumu punje 2 ndio waweza kupiga mswaki kisha ukae kwa muda wa saa nzima bila kula na mchana fanya hivyo hivyo kula baada ya saa kupita waweza kula chakula na usiku fanya hivyo hivyo dumisha kwa muda wa siku 7 utapona kabisa.Mkuu nashukuru sana, naomba kuuliza hapo kwneye kula vitunguu asubuhi ni kabla hata ya kupiga mswaki au baada? mana km ni kabla si ninaweza kukata harufu na kupiga mswaki?
Na mfano hivyo vitunguu ukivikata vidogo vidogo af ukameza na maji vp inaweza kufaa? Ahsante MziziMkavu
Kula kabla ya kupiga mswaki itakuwa vizuri zaidi ukisha maliza kula kitunguu Saumu punje 2 ndio waweza kupiga mswaki kisha ukae kwa muda wa saa nzima bila kula na mchana fanya hivyo hivyo kula baada ya saa kupita waweza kula chakula na usiku fanya hivyo hivyo dumisha kwa muda wa siku 7 utapona kabisa.
Upo mkoa gani?
sawa mamaupo mkoa gani?
sawa mama
Hivyo inawezekana ni environmental issue tu i.e extent of humidity in the air!mama katoka wapi?
ipo mikoa ukiishi mafua hayakomi! Arusha, mbeya, iringa, kilimanjaro nk.
next time uwe na adabu.