ajaribu kuchukua vipimo zaidi ili waangalie tatizo ni nini.nisikutishe lung cancer nayo,dalili zake ni kikohozi kisichopona,kupungua,sauti inabadilika,pumzi zinakuwa za shida.ila sometimes kifua huwa kinasumbua, na huchukua muda kupona.dada yangu anasumbuliwa na kifua miaka nenda miaka rudi,vipimo vyote amemaliza tatizo halijaonekana kbla hana watoto na sasa ana watoto 3.akianza kukohoa kujitengenezea dawa za kiswahili.asali na tangawizi
sipodar ila ninavyojua hospitali ya ocean road wana deal na magonjwa ya cancer.jaribu hukoMkuu nashukuru kwa ushauri. Ngoja tuchek na hiyo lung cancer. Ni wapi twaweza pata vipimo vizuri kwa hapa dar?
Mhhh...
umewaona wataalam mahosipitalini?
Mkuu MechanicsUmejaribu dawa zangu zipi? Hujaeleza una umri wa miaka mingapi? Mwanamke au Mwanamme?nilienda wakanipa madawa kibao lakini wap nmejaribu na za mzizi mkavu naona bado