USHAURI: Simuelewi mume wangu

Nipambane wapi hapa nimejiweka kimtego mtego Ila mwenzangu hata hategeki ndo kwanza yuko bze anacheza na mtoto natamani hata nikachukue maji ya baridi nimmwagie pengine akili itamkaa sawa inakera kwakweli hapa nawazaa kwanzia kesho nianze kulala na jinsi maana naona najitesa tu na baridi mwenzangu hana habari
Mmmh wewe ni mtata kwa kauli hizi utachapiwa tu.
Huenda amekukinai
 
Kuliko kumlazimisha kufanya tendo ambalo ni dhahiri hataki kulifanya ni bora ukamuweka chini ki upole na kumuuliza nini kinamsibu.
Desturi ya mwanaume ni sawa na kujivua nguo hadharani pale anapokiri kuwa kuna tatizo la nguvu za kiume.
Inawezekana asiwe na mapungufu ya nguvu za kiume lakini akawa na mambo yanayomzonga akili kiasi cha kuathiri utendaji wake.
Tiba ya kwanza daima ni kujua kiini cha tatizo. Na hilo hutolijua pasi kumuhoji.
Ondoa dhana yeyote kuwa ana mchepuko maana hiyo itapelekea kuhalalisha hisia za wewe kutaka kuchepuka.
Mwisho na kubwa zaidi, linganisha utendaji wake wa kimapenzi wa toka mlipoanzana na wa hivi sasa. Isije ikawa toka mmekutana alikuwa si mpenzi wa tendo (kuashiria kuna tatizo) ukaanza kuhangaikia tiba ya tatizo sugu.
Kila la heri na Mungu akusimamieni katika ndoa yenu.
Amina, kila nikijaribu kuongea nae anaishia kunambia tatizo anachoka sana hili ndo jibu lake kila nikimuuliza hana jibu lingine
 
Nipambane wapi hapa nimejiweka kimtego mtego Ila mwenzangu hata hategeki ndo kwanza yuko bze anacheza na mtoto natamani hata nikachukue maji ya baridi nimmwagie pengine akili itamkaa sawa inakera kwakweli hapa nawazaa kwanzia kesho nianze kulala na jinsi maana naona najitesa tu na baridi mwenzangu hana habari
Maybe libido yake imeshuka… Jaribu kuzungumza nae? Au umuache tu? Ni hatari sana

Pole sana 🤔
 
Kwa upande wangu Mimi naona Hali ya kimaisha ipo sawa mpaka anapata na ela za kubetia kila siku na huwa simkoromei Wala hatuna malumbano ndani amani ipo Kama ni ela za matumizi anaacha kunipenda ananipenda sana tu tunacheka, tunapiga story yani hamna shida kabisa tatizo ni Hilo moja tu la kutokupewa haki yangu, na kinachoniumiza akili hivi hata Kama mwanaume ana michepuko jamani ndoasinimc mke wake hata kwa wiki tu japo Mara moja mpaka inafika wakati nawaza au kalogwa ili akose hisia na Mimi dah! Ukisikia ndoa ni ngumu ndo hii sasa
Inaelekea ndoa yenu changa, jaribu kutawala hisia kabla hujachepuka.
Huenda ni hali ya kawaida nasi huwa tunapitia kuwa huna mvuto na kei kwa muda.
Mpe muda
 
Hii ndoa ina heka heka nyingi
Yani acha tu heka heka haziishi kilichobaki hapa nataka nianze kutafuta dawa ya kukata nyege ili tubaki tu na amani tulee mtoto maana bila hivyo naweza jikuta nimechepuka Jambo ambalo litafanya nijidhalilishe na kuivunja ndoa kwa mikono yangu Bora nifanye mpango na Mimi nisiwe tu na hisia tuishi wote Kama magogo
 
Kwa upande wangu Mimi naona Hali ya kimaisha ipo sawa mpaka anapata na ela za kubetia kila siku na huwa simkoromei Wala hatuna malumbano ndani amani ipo Kama ni ela za matumizi anaacha kunipenda ananipenda sana tu tunacheka, tunapiga story yani hamna shida kabisa tatizo ni Hilo moja tu la kutokupewa haki yangu, na kinachoniumiza akili hivi hata Kama mwanaume ana michepuko jamani ndoasinimc mke wake hata kwa wiki tu japo Mara moja mpaka inafika wakati nawaza au kalogwa ili akose hisia na Mimi dah! Ukisikia ndoa ni ngumu ndo hii sasa
Kweli hiyo ndoa ngumu maana bila kuoelekewa moto hapo hamna ndoa
 
Hujapandikizwa kama Nguzo ya umeme wala kupandikizwa kama mwembe kwa huyo mwanaume...Life is too short to wait a second, and waste a time

Kua na mtu anayevutiwa na mwenye hisia nawe.

CristCole Was here...🚶🚶
 
Mwenzio anawaza jinsi gani ya kupata pesa hainue familia kiuchumi au muweze kula ila wewe unawaza kubanduliwa tu. Ebu jaribu kuongea nae kuhusu masuala ya mipango kusaka pesa uone atakavyokufungukia yaliyo moyoni mwake
Ndio torati ya ndoa mkuu kubanduana ni sheria
 
Mkuu Glenn kataja hapo juu, kwa kuongezea:

1. Unatabia ya kukaa naked sana mkiwa ndani wawili tu. Yaani unakua na chupi tu? Jitahidi uwe unavaa muda wote nguo mfano Tshirt kubwa, unaacha mapaja tu, khanga flani, dera, etc ila usishindie kyupi tu, anakinai.

2. Anzisha kitu taratibu. Mfano unamfanyia massage, unamnyoa nywele za kwenye sirini, unamkata kucha, unamuosha miguu, etc ivyo vitu vidogo vinaamsha hamasa.

3. Usisubiri mwende kitandani ndio umuanze. Na usisubiri ifike saa 4 usiku kila siku ndio muanze. Kua creative, unamwambia ukamuogeshe, amekaa kwenye kochi unaenda kulala kwenye mapaja yake, etc.

4. Mwangalie usoni. Aisee tunapenda sana kuangaliwa usoni sio mchezo.

Ngoja niishie hapo. Mstari wa chini ni nje ya Mada.





Vijana tusioe, tusubiri hali itulie.
Mtahubiri sana tu...

Jamaa keshamzoea sana anamuona wa kawaida tu hana jipya!

Itahitaji approach ya kisaikolojia ili kumrudisha kwenye mstari!
 
Amina, kila nikijaribu kuongea nae anaishia kunambia tatizo anachoka sana hili ndo jibu lake kila nikimuuliza hana jibu lingine
Nahisi unamuuliza ikiwa tayari una akili ya kutaka haki yako.
Hapo hutoweza kupata jibu stahiki na pia hutoridhika na chochote utakachojibiwa. Kumbuka ikiwa ana tatizo la nguvu za kiume na wewe ukiwa unamuuliza nini tatizo ilhali upo mtupu pembeni yake ni sawa na kumtonesha kidonda. Hujui jinsi gani anahisi kudhalilika.

Swali hilo linapaswa maandalizi. Iwe ni siku maalum ambayo toka asubuhi unamtengenezea amani ya moyo. Unaweza mwambia muende out kubadilisha mazingira. Hakikisha humfanyii mahojiano bali fanya majadiliano. Kuwa kama wewe ndio mwenye tatizo. Muaminishe kuwa ni jambo la kawaida kuwa na tatizo endapo lipo na wewe haupo hapo kumuhukumu bali kulitatua nae.
Ni swala la muda tu atafunguka na mtajua pa kuanzia.
 
Mkuu Glenn kataja hapo juu, kwa kuongezea:

1. Unatabia ya kukaa naked sana mkiwa ndani wawili tu. Yaani unakua na chupi tu? Jitahidi uwe unavaa muda wote nguo mfano Tshirt kubwa, unaacha mapaja tu, khanga flani, dera, etc ila usishindie kyupi tu, anakinai.

2. Anzisha kitu taratibu. Mfano unamfanyia massage, unamnyoa nywele za kwenye sirini, unamkata kucha, unamuosha miguu, etc ivyo vitu vidogo vinaamsha hamasa.

3. Usisubiri mwende kitandani ndio umuanze. Na usisubiri ifike saa 4 usiku kila siku ndio muanze. Kua creative, unamwambia ukamuogeshe, amekaa kwenye kochi unaenda kulala kwenye mapaja yake, etc.

4. Mwangalie usoni. Aisee tunapenda sana kuangaliwa usoni sio mchezo.

Ngoja niishie hapo. Mstari wa chini ni nje ya Mada.





Vijana tusioe, tusubiri hali itulie.
Na kweli msioe subirini Hali itulie, nahisi no. 1 hapo Kama ni kweli basi inaweza ikawa ni sababu coz nimemzoea sana na mimi huwa sipendi kuvaa nguo Mara nyingi huwa napenda kuvaa kanga moko na tukibaki peke yetu kanga nikiona inanikera huwa nayo natupa uko nabaki hivyo hvyo cna kitu hata chupi hivyo inawezekana labda kakinai kweli, na swala la kumkalia kwenye mapaja huwa namkalia nikiwa hivyo tunapiga story Ila hata hashtuki sijui sasa anakwama wapi huyu mwanaume jamani
 
Yani acha tu heka heka haziishi kilichobaki hapa nataka nianze kutafuta dawa ya kukata nyege ili tubaki tu na amani tulee mtoto maana bila hivyo naweza jikuta nimechepuka Jambo ambalo litafanya nijidhalilishe na kuivunja ndoa kwa mikono yangu Bora nifanye mpango na Mimi nisiwe tu na hisia tuishi wote Kama magogo

Mbona una ongea kwa gadhabu namna hii
 
Hujapandikizwa kama Nguzo ya umeme wala kupandikizwa kama mwembe kwa huyo mwanaume...Life is too short to wait a second, and waste a time

Kua na mtu anayevutiwa na mwenye hisia nawe.

CristCole Was here...

Snitch wa alicent
 
Back
Top Bottom