USHAURI: Simuelewi mume wangu

Hapana haya hayawezi mzuia mwanaume asiwe na genye. Hapo kuna mchepuko.
 
Mimi sio nabii ila kuna jibu hapa.
1. Ana mchepuko
2: au kagundua ameambukizwa anaogopa kukuambukiza.
3: au kaanza michezo michafu hisia zimeamia huko? Maana wanaume wamebaki wachache ndo maana unasikia kesi za kulawiti zimekuwa nyingi.
4: hii kitu imeanza lini?

Umeeleza vizuri upande wako unatimiza majukumu shida iko wapi? Mmmh chunguza
 
Jitahidi uwe mtundu, kama una umbo la kuvutia itakuwa powa zaidi. Muogeshe, muongeleshe maneno mazuri mazuri kama natak leo unit..mb mpaka nikimbie nyumba; mnyonye n.k atakupelekea moto tu
 
Ushauri wangu Ni AROGWE....Uswahili I tunasema ashughulikiwe kwa mtaalamu...
 
Nimempa mda... Tukapime.... Simsaidiii AMINI ...kwao mke wangu wako well-off kuliko Mimi na familia yangu.. ni yeye na akili zake... mpaka walimkataa wakamuacha tu... Nikamkuta... Tukarudiana ... Nikamtafutia kazi ..nikamsomesha ..... (Kuna Uzi HUMU).... Alipoanza na yeye kuwa Afisa ndio akaanza dharau... Nkamwambia tu... Unajua nilipokutoa ... Na umaskini wetu kwetu na kwao walimkataa kabisaaaa akawa tu dada wa mtaani.... Unanifanyia hivi... Nikamuachia na nyumba na hati na Kila kitu nikaenda kupanga...... Vikao nilivyoitwa kanisani, Koo , familia ni vingi mnoooo.... Amini Nakwambia. ANAJUA MAKOSA YAKE. Kwa nilivyomkuta Baada ya kuachana shuleni na maisha niliyomjengea na tumefunga ndoa ... Kwani hao WALIOKUWA wanampa kiburi anao!!?? ....
 
Sasa Kwan ni lazma kubet si aache yani mimi nachukia jamani basi tu
 
Kuna vitu vidogo vya kurekebisha mm nami nilishapitia.

Ipo hivi Mwanamke anapokaa muda bila kufanya tendo siku ya kufanya hupania na kaamrisha Mume wafanye kwa mda mrefu ,siyo sawa kwani Mwanaume hachelewi kumwaga kama hafanyi mara kwa mara kwa Amri hizo mwanaume hukosa hisia kabisa .

Usimwambie maneno makali ya kumkatisha tamaa hisia hupotea kabisa na kuona tendo ni adhabu kali hivyo kumpoteza kabisa

Mimi niliambia kama huwezi mpaka nifike kilele tusifanye ,Hii kauli ilinimaliza kabisa nikajibu kwa kauli nzito tafuta mwanaume .mwisho akashuka tukajadili kwa sasa napewa mpaka zawadi

Akifanya ata kidogo msifie,mtie moyo akisema nimechoka mwambie pumzika Mume wangu tutafanya tena asubuhi na kweli asubuhi jitahidi baada ya muda ata jiamini utakuwa unafaidi na kila siku ya tendo utafika kileleni naamini ugonjwa wako uko hapa pia wanawake wengi huwaondoa hisia kwa kauli na Amri.

Kama kuna Vitu havipendi acha usivifanye na kabla ya mechi usifanye jambo lolote la kumkera pia ata katikati ya mechi,kama ni marekebisho mwamwie kwa upole baada ya mechi tena baada ya kushukuru.
Mf: Unajua Mme wangu tulipokuwa ktkt ya mechi nilikaribia ila ulinipoyeza kwa kufanya jambo flani ,keshi baby fanya hivi na hivi sichelewi

N:B usitafute mpango wa kando,Pm yako watakuja pia .
zingatia haya utakuja kunishukuru baadaye.
sorry mm siyo mwandishi mzuri .
 
Atahukumumiwa tofauti na hapo kama ana shida anasema kama anaumwa anasema sasa kuacha kumfanya mke ndio manini sasa
Yani anakera basi tu hapa sahivi amelala ananikoromea tu napata hasira natamani hata nimpige ukichanganya na hizi nyege basi kila nikimuona natamani hata nimdumbukize kwenye Jana nimfunikie uko
 
Dah.. Nakumbana na tatizo kama lako.. Yaani mimi mke wangu hapendi kabisa kushiriki tendo la ndoa.. Inaweza kupita hata miezi miwili..
 
Tatizo Hapo ni Kubeti
akibeti Ana win mikeka yake?? Kubeti Kunasadikika Kupunguza Nguvu za Kiume na Ni addiction mpya.
 
Yani anakera basi tu hapa sahivi amelala ananikoromea tu napata hasira natamani hata nimpige ukichanganya na hizi nyege basi kila nikimuona natamani hata nimdumbukize kwenye Jana nimfunikie uko
Muanshe kwa upole zungumza nae mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…