USHAURI: Simuelewi mume wangu

USHAURI: Simuelewi mume wangu

Kuna vitu vidogo vya kurekebisha mm nami nilishapitia.

Ipo hivi Mwanamke anapokaa muda bila kufanya tendo siku ya kufanya hupania na kaamrisha Mume wafanye kwa mda mrefu ,siyo sawa kwani Mwanaume hachelewi kumwaga kama hafanyi mara kwa mara kwa Amri hizo mwanaume hukosa hisia kabisa .

Usimwambie maneno makali ya kumkatisha tamaa hisia hupotea kabisa na kuona tendo ni adhabu kali hivyo kumpoteza kabisa

Mimi niliambia kama huwezi mpaka nifike kilele tusifanye ,Hii kauli ilinimaliza kabisa nikajibu kwa kauli nzito tafuta mwanaume .mwisho akashuka tukajadili kwa sasa napewa mpaka zawadi

Akifanya ata kidogo msifie,mtie moyo akisema nimechoka mwambie pumzika Mume wangu tutafanya tena asubuhi na kweli asubuhi jitahidi baada ya muda ata jiamini utakuwa unafaidi na kila siku ya tendo utafika kileleni naamini ugonjwa wako uko hapa pia wanawake wengi huwaondoa hisia kwa kauli na Amri.

Kama kuna Vitu havipendi acha usivifanye na kabla ya mechi usifanye jambo lolote la kumkera pia ata katikati ya mechi,kama ni marekebisho mwamwie kwa upole baada ya mechi tena baada ya kushukuru.
Mf: Unajua Mme wangu tulipokuwa ktkt ya mechi nilikaribia ila ulinipoyeza kwa kufanya jambo flani ,keshi baby fanya hivi na hivi sichelewi

N:B usitafute mpango wa kando,Pm yako watakuja pia .
zingatia haya utakuja kunishukuru baadaye.
sorry mm siyo mwandishi mzuri .
Asante sana nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Ukipata muda mueleze laivu kama ikishindikana mwambie mshenga wake.
Ukishindwa kabisa tafute mtu mwenye hekima kama mimi muongee na kukata kiu Kiutu uzima na maisha yaendelee.

Nimesahau mpikie vyakula vyenye kutia nyege sio kila siku wali/sembe na nyama na mboga za majani.
Jiongeze binti.
 
Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Nigey namba yako nikusaidie Hilo ni tatizo dogo
 
Nyongeza ktk Comment yangu
Ongea naye pia afanye mazoezi ikiwezekana mfanye wote wewe unakuwa kama una msaport asione kama umempa Adhabu.

pia kama ukizungumea naye kwa upole na kimahaba mweleze kuna msaada wa Juis kama dawa .
Limao 3+ vitunguu maji 2 vikubwa au v3 vya wastani ukiweza usiweke maji au ukiweka ni kidogo sana atumie kwa siku 7 bila kuruka Asubuhi na jioni .
Hii husaidia Mzunguko wa damu uwe viziri kwani Uume hutegemea Damu kusimama .

Usidanganyike Mumeo hachepuki wanao chepuka home wanapiga shoo za maana kwani wanakuja kutafuta bao la 3 au la 4 kwako ambalo ni gumu mnoo kutoka na ukichukulia ameshapata mda/ gepu tangu atoke kwa mchepuko anakuwa bizuri sana kitandani.
pia Usafi kwako wewe + na Comment ya awali ni uhakika unatatua tatizo
Mungu akutangulie alliye mponyaji mkuu
 
Comment no 303 na 306.Asante .
Ikishindikana ntakupa Bure Dawa ya mitishamba ukiongea naye akikubali
kumbuka kila unapo ongea naye ni kwa upole unyenyekevu na kimahaba ,
kwani wanawake mkiwa na nyege huwa mnakuwa na hasira sana ambazo mtu kama huyo zinamwongezea ubovu zaidi
 
Hakuwa hivi na Kama angekuwa hivi nisingekubali anioe ningemkimbia mapema sana nisingetaka kujiingiza kwenye mateso

Nashauri ujiangalie wapi labda umekosa, au kumkwaza, au labda una mazingira gani yanayompa huo ugumu.

Ila Kuna wanaume wengine ni wa shenzy tu, mke hana kosa ila wanakuwa wakorofi tu kabisa bila sababu.

Jaribu pia afya, pengine Ana. Stds na anajua, na hataki muendelee kuambukizana na pia hataki kuliweka wazi.

These are possible reasons:

1. Mazingira yako na Tabia vinamkwaza sana mpaka a nakosa hamu na wewe.

2. Anapitia kipindi kigumu sana kifedha mpaka a nakosa Amani na ujasiri wa kujiamini.

3. Ni muhuni wa kutupa, maana hata kama Ana wanawake nje anapaswa pia kukuheshimu na kukupa Haki yako.

5. Anaumwa au Ana upungufu ambao wamfanya ajionee hana thaman au Ana under perform kwake, ila akitoka huko nje wanawake wanamsifia.

Hilo jambo sio LA kupuuza hata kidogo, tafuta namna mzungumze, ndoa haina maana kabisa kama hupati haki yako, na yeye uitaji wake nani anamtimizia.

Hii Dunia haipo fair, wakati sisi wengine tu nataka mzigo hata kila siku kutoka kwa wife, mwingine anaombwa na hafanyi, dah hatari hii.
 
Kwa upande wangu Mimi naona Hali ya kimaisha ipo sawa mpaka anapata na ela za kubetia kila siku na huwa simkoromei Wala hatuna malumbano ndani amani ipo Kama ni ela za matumizi anaacha kunipenda ananipenda sana tu tunacheka, tunapiga story yani hamna shida kabisa tatizo ni Hilo moja tu la kutokupewa haki yangu, na kinachoniumiza akili hivi hata Kama mwanaume ana michepuko jamani ndoasinimc mke wake hata kwa wiki tu japo Mara moja mpaka inafika wakati nawaza au kalogwa ili akose hisia na Mimi dah! Ukisikia ndoa ni ngumu ndo hii sasa

Kubeti? Hiyo ni hobby mbaya sana
 
Njoo pm mpwa .......tupeane maujuzi........inawezekana anakataa kinacho mkataaa pia
 
Hiyo tabia ya mumeo niko nayo mimi A to Z,
Tatizo ni wewe na makwazo yako(bila shaka mumeo ni mkimya) ila wewe una mdomo sana lakini pia una choyo na mbinafsi yaani humsaiidii kwenye Mambo ya familia yenu( kipato chako ni chako tu ila chake unakitolea macho) yaani hushiriki kwenye ujenzi wa maendeleo ya familia yenu ni kama kila kitu umemuachia yeye kwakuwa ni kichwa cha familia.

Hayo ni kati ya yale machache ila kwa uzoefu tatizo ni wewe,kiufupi hujawa msaidizi wake(mke) bali upo kama hawala uliyevishwa pete ndani ya nyumba.....usipobadirika yatabaki mazoea tu kwa msaada wa hao watoto ila ndoa inaelekea ukingoni.
We jamaa ujengewe mnara mkubwa kabisa pale Dodoma kwaajili ya ukumbusho wa vizazi vijavyo. Yaani umeongea mlele Safi Sana kijana na Hilo ndio Tatizo tu kwa vyovyote vile
 
Kwa upande wangu Mimi naona Hali ya kimaisha ipo sawa mpaka anapata na ela za kubetia kila siku na huwa simkoromei Wala hatuna malumbano ndani amani ipo Kama ni ela za matumizi anaacha kunipenda ananipenda sana tu tunacheka, tunapiga story yani hamna shida kabisa tatizo ni Hilo moja tu la kutokupewa haki yangu, na kinachoniumiza akili hivi hata Kama mwanaume ana michepuko jamani ndoasinimc mke wake hata kwa wiki tu japo Mara moja mpaka inafika wakati nawaza au kalogwa ili akose hisia na Mimi dah! Ukisikia ndoa ni ngumu ndo hii sasa
Pole sana.uwemtulivu hiyo ni wako tuu.
 
Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Daah hili tatizo liko upande wangu yaani mimi ni kama mmeo alivyo sasa ...

Sijui ninachokiona ndicho na yeye anachokipitia
Wacha nikup majibu inbox
 
Tatizo we ni Miss Chuga.. Ungekuwa mzaramo au mtoto wa kimakonde au mtanga yasingetokea hayo..
 
mmmmh!!!hapo tatizo kuu ni punyeto nyingi sana kwake alipokuwa kati umri wake mdogo na hajaacha anaendeleza hiyo kitu.Jaribu kumchunguza utakuja kunipa jibu kama mchepuko kwa nin anawahi kurudi nyumbani au ni mchelewaji ???
Acheni ujinga, nimepiga punyeto from age of 13 up to now, ndiyo kwanza nguvu zinazidi kuongezeka. Msifananishe nyeto na upuuzi. Huyo ana matatizo yake
 
Nimempa mda... Tukapime.... Simsaidiii AMINI ...kwao mke wangu wako well-off kuliko Mimi na familia yangu.. ni yeye na akili zake... mpaka walimkataa wakamuacha tu... Nikamkuta... Tukarudiana ... Nikamtafutia kazi ..nikamsomesha ..... (Kuna Uzi HUMU).... Alipoanza na yeye kuwa Afisa ndio akaanza dharau... Nkamwambia tu... Unajua nilipokutoa ... Na umaskini wetu kwetu na kwao walimkataa kabisaaaa akawa tu dada wa mtaani.... Unanifanyia hivi... Nikamuachia na nyumba na hati na Kila kitu nikaenda kupanga...... Vikao nilivyoitwa kanisani, Koo , familia ni vingi mnoooo.... Amini Nakwambia. ANAJUA MAKOSA YAKE. Kwa nilivyomkuta Baada ya kuachana shuleni na maisha niliyomjengea na tumefunga ndoa ... Kwani hao WALIOKUWA wanampa kiburi anao!!?? ....
We' ni lofa kmmae zako
 
Nimempa mda... Tukapime.... Simsaidiii AMINI ...kwao mke wangu wako well-off kuliko Mimi na familia yangu.. ni yeye na akili zake... mpaka walimkataa wakamuacha tu... Nikamkuta... Tukarudiana ... Nikamtafutia kazi ..nikamsomesha ..... (Kuna Uzi HUMU).... Alipoanza na yeye kuwa Afisa ndio akaanza dharau... Nkamwambia tu... Unajua nilipokutoa ... Na umaskini wetu kwetu na kwao walimkataa kabisaaaa akawa tu dada wa mtaani.... Unanifanyia hivi... Nikamuachia na nyumba na hati na Kila kitu nikaenda kupanga...... Vikao nilivyoitwa kanisani, Koo , familia ni vingi mnoooo.... Amini Nakwambia. ANAJUA MAKOSA YAKE. Kwa nilivyomkuta Baada ya kuachana shuleni na maisha niliyomjengea na tumefunga ndoa ... Kwani hao WALIOKUWA wanampa kiburi anao!!?? ....
Umeniboa sana wewe
 
Back
Top Bottom