USHAURI: Simuelewi mume wangu

USHAURI: Simuelewi mume wangu

Kwa upande wangu Mimi naona Hali ya kimaisha ipo sawa mpaka anapata na ela za kubetia kila siku na huwa simkoromei Wala hatuna malumbano ndani amani ipo Kama ni ela za matumizi anaacha kunipenda ananipenda sana tu tunacheka, tunapiga story yani hamna shida kabisa tatizo ni Hilo moja tu la kutokupewa haki yangu, na kinachoniumiza akili hivi hata Kama mwanaume ana michepuko jamani ndoasinimc mke wake hata kwa wiki tu japo Mara moja mpaka inafika wakati nawaza au kalogwa ili akose hisia na Mimi dah! Ukisikia ndoa ni ngumu ndo hii sasa
Kama anabet ni ishara kuwa maisha hayamuendei sawa. Na wala hana mchepuko huyo
 
Sasa Kwan ni lazma kubet si aache yani mimi nachukia jamani basi tu
Tafuta vitu vya kuku keep busy.....
Ataanza yeye kukutafuta.
Usimfikirie mtu 24/7
Itakuumiza.
Wanaume hawana shukrani.
Kwani hata ukikaa mwaka kitaoza?
Tafuta vitu vya kukukeep busy
Develop new hobbies.
Kama hauna kazi/biashara tafuta gym near by kani subscribe huko kifurushi cha mwezi ...
Au anza kukimbia asubuh.
Tafuta movies...
Yaani jipe shuhuli...
 
Tafuta vitu vya kuku keep busy.....
Ataanza yeye kukutafuta.
Usimfikirie mtu 24/7
Itakuumiza.
Wanaume hawana shukrani.
Kwani hata ukikaa mwaka kitaoza?
Tafuta vitu vya kukukeep busy
Develop new hobbies.
Kama hauna kazi/biashara tafuta gym near by kani subscribe huko kifurushi cha mwezi ...
Au anza kukimbia asubuh.
Tafuta movies...
Yaani jipe shuhuli...
Unataka kuvunja ndoa eti
 
Huyo mwamba ana umri gani?

Wote mnajishughulisha au ni yeye tu?

Hapo kabla hali ilikuwaje kabla mambo hayajaharibika?

Ni kwa kiwango gani unajua upataji wake wa hela?

Yaani maswali yanaweza kuwa hata mia, sababu ni nyingi mno...lishe yake pia, huenda ana mchepuko, huenda anajichua sana, huenda ameshakuwa gay...aaagr mambo ni mengi!!
 
Mkuu Glenn kataja hapo juu, kwa kuongezea:

1. Unatabia ya kukaa naked sana mkiwa ndani wawili tu. Yaani unakua na chupi tu? Jitahidi uwe unavaa muda wote nguo mfano Tshirt kubwa, unaacha mapaja tu, khanga flani, dera, etc ila usishindie kyupi tu, anakinai.

2. Anzisha kitu taratibu. Mfano unamfanyia massage, unamnyoa nywele za kwenye sirini, unamkata kucha, unamuosha miguu, etc ivyo vitu vidogo vinaamsha hamasa.

3. Usisubiri mwende kitandani ndio umuanze. Na usisubiri ifike saa 4 usiku kila siku ndio muanze. Kua creative, unamwambia ukamuogeshe, amekaa kwenye kochi unaenda kulala kwenye mapaja yake, etc.

4. Mwangalie usoni. Aisee tunapenda sana kuangaliwa usoni sio mchezo.

Ngoja niishie hapo. Mstari wa chini ni nje ya Mada.





Vijana tusioe, tusubiri hali itulie.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kweli hali itulie
 
For your peace of mind

Fuata ratiba ya hisia ya mume wako...He is the one who needs an erection not you...

In the interim, kuwa busy na watoto,nyumba yako,kazi na issue zingine na muda mwingine jihudumie mwenyewe...

Lisikustress sanaa
Fanya mengine yanayokupa raha
 
Sio kila mwanaume ana mihemko ya kiduanzi, na kuwa na mke sio ndo kugongana kila wakati bana acheni watu wapumzike sometimes chain za biashara na pesa zinashuka mambo hayapo sawa na sio lazima uambiwe jiongeze.... Mnatumaliza sana nguvu, ndo maana unakuta mwanaume mwembambaa hana nuru ila mwanamke kakona, Kama wewe una hamu basi mtengeneze mwenzako bila kuchoka maana ww ndo una shida... usilazimishe na yeye aanze kuwa na shida na wewe
 
Hivi mtu anayebet ni vile maisha hayamuendei sawa? Basi ngoja niache na siachi ng'o!
Kubet ni indicator kuwa unachopata hakitishelezi hivyo unahitaji kubahatisha sehemu zingine. Na kama unabahatisha ina maana maisha hayaendi sawa
 
Nimempa mda... Tukapime.... Simsaidiii AMINI ...kwao mke wangu wako well-off kuliko Mimi na familia yangu.. ni yeye na akili zake... mpaka walimkataa wakamuacha tu... Nikamkuta... Tukarudiana ... Nikamtafutia kazi ..nikamsomesha ..... (Kuna Uzi HUMU).... Alipoanza na yeye kuwa Afisa ndio akaanza dharau... Nkamwambia tu... Unajua nilipokutoa ... Na umaskini wetu kwetu na kwao walimkataa kabisaaaa akawa tu dada wa mtaani.... Unanifanyia hivi... Nikamuachia na nyumba na hati na Kila kitu nikaenda kupanga...... Vikao nilivyoitwa kanisani, Koo , familia ni vingi mnoooo.... Amini Nakwambia. ANAJUA MAKOSA YAKE. Kwa nilivyomkuta Baada ya kuachana shuleni na maisha niliyomjengea na tumefunga ndoa ... Kwani hao WALIOKUWA wanampa kiburi anao!!?? ....
Inaonyesha una mengi mkuu. Pole bana!
Binafsi siwezi ishi mazingira hayo mnayoishi nyie lakini inawezekana mnayo sababu muhimu.
 

Mh kazi kweli kweli!
 
huna maajabu ndioo maana haoni umuhimu wakukuambia anahitaji bora abaki na kiu yake .
ungekuwa unamaajabu ungebwanwa na wivu ungeonewa kweli hana shida yeyote unaboa tu.
anaona bora abaki na nguvu zake
 
Nyongeza ktk Comment yangu
Ongea naye pia afanye mazoezi ikiwezekana mfanye wote wewe unakuwa kama una msaport asione kama umempa Adhabu.

pia kama ukizungumea naye kwa upole na kimahaba mweleze kuna msaada wa Juis kama dawa .
Limao 3+ vitunguu maji 2 vikubwa au v3 vya wastani ukiweza usiweke maji au ukiweka ni kidogo sana atumie kwa siku 7 bila kuruka Asubuhi na jioni .
Hii husaidia Mzunguko wa damu uwe viziri kwani Uume hutegemea Damu kusimama .

Usidanganyike Mumeo hachepuki wanao chepuka home wanapiga shoo za maana kwani wanakuja kutafuta bao la 3 au la 4 kwako ambalo ni gumu mnoo kutoka na ukichukulia ameshapata mda/ gepu tangu atoke kwa mchepuko anakuwa bizuri sana kitandani.
pia Usafi kwako wewe + na Comment ya awali ni uhakika unatatua tatizo
Mungu akutangulie alliye mponyaji mkuu
Asante mkuu ubarikiwe
 
huna maajabu ndioo maana haoni umuhimu wakukuambia anahitaji bora abaki na kiu yake .
ungekuwa unamaajabu ungebwanwa na wivu ungeonewa kweli hana shida yeyote unaboa tu.
anaona bora abaki na nguvu zake
Kama ni hivyo mahari irudishwe ndoa ivunjwe. Nashukuru wanaume hatuoi mizigo siku hizi, tunaoa vichwa.
 
Back
Top Bottom