Salaam, Shalom!!!
Baada ya Kutokea maporomoko na maafa mlima Hanang, zimefanyika jitiada kadhaa kurudisha maisha ya Wahanga yarudi kama zamani.
Tumeshuhudia pia mamlaka Jana zikireport tetemeko la ukubwa wa 4.7 , hizi zote ni dalili za kuja Kutokea mlipuko wa volcano halisi.
Ninaiomba Serikali yangu kuhakikisha wananchi waishio chini ya mlima huo waondolewe na kwenda Mahali salama.
Kinga ni Bora kuliko Tiba🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen
Baada ya Kutokea maporomoko na maafa mlima Hanang, zimefanyika jitiada kadhaa kurudisha maisha ya Wahanga yarudi kama zamani.
Tumeshuhudia pia mamlaka Jana zikireport tetemeko la ukubwa wa 4.7 , hizi zote ni dalili za kuja Kutokea mlipuko wa volcano halisi.
Ninaiomba Serikali yangu kuhakikisha wananchi waishio chini ya mlima huo waondolewe na kwenda Mahali salama.
Kinga ni Bora kuliko Tiba🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen