Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,221
- 219,396
Ibaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi, maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua.
Zaidi ya kuleta manung'uniko na hasira kwa wananchi, hakuna lolote linalofanyika , kuna haja gani sasa ya kutupotezea muda kuangalia na kusikiliza ripoti hiyo?
Acha waendelee kujitafunia mihela yetu ya bure watakavyo waendelee kutuongopea kwamba bado Nchi yetu ni Changa.
Tunawatakia Kila la heri katika ulaji huo wa Nchi.
Zaidi ya kuleta manung'uniko na hasira kwa wananchi, hakuna lolote linalofanyika , kuna haja gani sasa ya kutupotezea muda kuangalia na kusikiliza ripoti hiyo?
Acha waendelee kujitafunia mihela yetu ya bure watakavyo waendelee kutuongopea kwamba bado Nchi yetu ni Changa.
Tunawatakia Kila la heri katika ulaji huo wa Nchi.