ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,728
- 34,851
Pengine ww ndio ukaanza kumchubua, wabongo hamnaga adabu kabisaHapana huyo demu sio mnywajii...na anajiheshimu sanaa
Pengine ww ndio ukaanza kumchubua, wabongo hamnaga adabu kabisaHapana huyo demu sio mnywajii...na anajiheshimu sanaa
Wakati huo yuko bikra alikua mtoto mdogo maana wametoka nae mbali kipind yuko chuo bt now yuko benki na huko benki kuna watu wenye fedha zao ....ndo mana anahic lazma watu watamchukuaWasiwasi wake ni nn sasa!
Wala sio utoto, sio wivu bali ni nature. Wanandoa wakiishi mbali ni sumu katika ndoa, ndoa nyingi zinakufa kwa sababu ya distance, duniani kote ipo hivyo, msimlaumu jamaa, anakuwa sceptical tu coz I bet anampenda mkewe.Yaan mmekutana wote watoto mwanamke akiamua kutaka kuliwa analiwa hata kama upo nae na akiamua kutoliws hata akikwa mbali nae haliwi ebu acheni mambo zenu za kitoto na hiyo miwivu yenu kama imeshindikana uhamisho amuache aendelee na kazi
yuko benki gan??Oky ila mtoto yuko benki afu wa ukwelii
hua naamini hili kwa 100%Mwambie jamaa huyo dem lazma ataliwa tuu piga ua.hakunaga mpenz ya mbal trust mi,nikujilipua tuu,na ndo itakua chanzo cha mgogoro wa hyo ndoa,..askudanganye mtu hapa,..yaan dem huyo atajitahid mwanzon ila baadae watamla tu..tena unasema mkali.mamama
Ww unatokea nchi gani?Kinanishangaza kitu kimoja hapa, anawezaje kuishi na mke wake na huku hamuamini? Maajabu haya
Ndo kazi mkuuNdo ubaya wa kuajiliwa
Ile ya escrow.yuko benki gan??
Maisha ni kuchagua hivyo yeye ndo mwamuzi aache kazi alinde mkewe ama aende Dom huku nyuma achapiwe.Habarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Mrejesho; yule jamaa anatakiwa aende dodoma tarehe 31 january ndo uhamisho wake unaanza....Mpaka sasa bado anajiuliza itakuwaje
Napata wasiwasi na we we usipomla sijuiiii mana dalili zote unazoOky ila mtoto yuko benki afu wa ukwelii
Hapana mkuu ni mke wa mtu ila kiukweli analipa sana japo ana watotoNapata wasiwasi na we we usipomla sijuiiii mana dalili zote unazo
Ni mke Wa dunia eh??????Hapana mkuu ni mke wa mtu ila kiukweli analipa sana japo ana watoto
Duuu jamani ushauri mwingine sio vizur[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mbona wife wake anatafunwa na jamaa wa kitengo cha IT!
Mwambie jamaa aripoti Dodoma tu hakuna namna. Kuna vimwana nao wametupwa huko wameacha wenzi wao Dar. Akienda nae huko mwisho wa siku atajilaumu.
Ni ushauri tu mkuu wala sio amri. Hahaha.Duuu jamani ushauri mwingine sio vizur[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Kazi kweli mwenyewe akisoma hivi akiondoka hata kuwa anapata usingizi mke hachungwi na uzinzi ni tabia ya mtu hata mkiwa pamoja akiamua kucheat ata cheat tu[emoji39] [emoji39]Ni ushauri tu mkuu wala sio amri. Hahaha.
Nkiitaja hyo benki demu anaeza kujuaBenki gani mkuu??