- Thread starter
- #101
okay sawa ntamwambiaakili finyu.,acha utoto na wivu mavi.........mwanamke akitaka kuliwa hata na house boy wako ataliwa tu.....tafuteni hela jipangeni kwa ajili ya watoto wenu na maendeleo yenu...mambo ya kuliwa ni tabia...
okay sawa ntamwambiaakili finyu.,acha utoto na wivu mavi.........mwanamke akitaka kuliwa hata na house boy wako ataliwa tu.....tafuteni hela jipangeni kwa ajili ya watoto wenu na maendeleo yenu...mambo ya kuliwa ni tabia...
nimemuuliza asa hv..amenijibu kuwa alimkuta bikraAlimkuta bikra!
Wasiwasi wake ni nn sasa!nimemuuliza asa hv..amenijibu kuwa alimkuta bikra
Ha ha ha ha machimbo ya kulipiza kisasi,,,ha ha nmejikuta nmekaa hapa malaika nimesoma hii comment nikachekaLazima uchapiwe tu no way out ila karibu dom nitakuonesha machimbo ya kulipizia kisasi ila usiache kazi kwajili ya makuz mkuu naomba unitumie mawasiliano ya huyo shem wako nimpe somo asije anza kugegedwa na majamaa huko atakapo baki
asa anaogopa coz yeye atakua dom na huyu atakua dar...na demu asa hv yuko benki na kuna watu wenye hela wnaweza mrubuniWasiwasi wake ni nn sasa!
Kwa kukutwa bikra, ni wife material, aache wivu.asa anaogopa coz yeye atakua dom na huyu atakua dar...na demu asa hv yuko benki na kuna watu wenye hela wnaweza mrubuni
Sisi wanaume tukishatulizwa hatufurukuti ila mwanamke huwez kumtuliza mpka aamue kutuliaNimeipenda hiyo mwanamke hatulii mpaka aamuwe yeye mwenyew. Na mwanaume hatulii mpaka atulizwe...
Kuajiriwa ni utumwaHabarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Lazima ucheke mkuu dawa ya kuchapiwa ni kuchapia wengineHa ha ha ha machimbo ya kulipiza kisasi,,,ha ha nmejikuta nmekaa hapa malaika nimesoma hii comment nikacheka
Okay sawaSawa sawa wacha noendelee kuangaza mji huu makao ya nchi
Soon tutasikia ya joyceAmbaye ana mshahara mdogo amfuate mwenye mshahara mkubwa
Kutoka mbali ndo nn?Daah sasa huyu mke wake wametoka naye mbali ndo mana anaogopa kusalitiwa
Mnampa moyo tu huyo jamaa,Uzur huwez kumtuliza mwanamke bila mwenyewe kuamua kutulia,,,hakuna mwanaume kiboko ya mwanamke,wala huwez kumchunga maana wakiamua hao anaweza kuliwa wakat ww unaangalia mpira sebulen,na ukiona mume ana wasiwas sana ujue ndo tabia zake.. maana maandiko yanasema hatuoni vitu jinsi vilivyo bali sisi tulivyo... mlinz wa mwanaume siku zote ni mke so mwambie kipimo cha uadilifu na uaminifu ni hapo..
Wengine wenza wetu wapo nje mwaka wa nne lakin tunaona maisha saf tu,,dodoma tu anawayawaya???